Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
UVCCM - TAIFA
23 Mei, 2023. Dodoma.
EDNA NA WAANDISHI WA HABARI
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Ndugu. Edna Lameck amefanya mazungumzo na Waandishi wa habari kwa lengo la kutoa tathimini ya Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM-Taifa Ndugu. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ambayo ilikuwa ni Ziara ya Ukaguzi wa mradi wa Vijana wa Jenga Kesho Iliyo Bora yaani (BBT), akizungumza katika Ofisi za Makao Makuu ya Jumuiya ya UVCCM Mkoani Dodoma tarehe 24 Mei, 2023.
#SisiNaMamaMleziWaWana
#AlipoMamaVijanaTupo
#ChamaImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#Kaziiendelee
Imetolewa na:
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.
23 Mei, 2023. Dodoma.
EDNA NA WAANDISHI WA HABARI
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Ndugu. Edna Lameck amefanya mazungumzo na Waandishi wa habari kwa lengo la kutoa tathimini ya Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM-Taifa Ndugu. Mohammed Ali Kawaida (MCC) ambayo ilikuwa ni Ziara ya Ukaguzi wa mradi wa Vijana wa Jenga Kesho Iliyo Bora yaani (BBT), akizungumza katika Ofisi za Makao Makuu ya Jumuiya ya UVCCM Mkoani Dodoma tarehe 24 Mei, 2023.
#SisiNaMamaMleziWaWana
#AlipoMamaVijanaTupo
#ChamaImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#Kaziiendelee
Imetolewa na:
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.