Hizo ni sera za CCM wacha kujiliza kijinga"naona uchungu ,naona uchungu.. nikimkumbuka naye nyarandu naona uchungu naona uchungu, nikiwakumbuka na twiga wetu naona uchungu "
Huyu wa sasa anakula twiga na binadam wanaoitwa wasanii wa kike"naona uchungu ,naona uchungu.. nikimkumbuka naye nyarandu naona uchungu naona uchungu, nikiwakumbuka na twiga wetu naona uchungu "
Mungu anakuona ndimi mbili wewe!Hizo ni sera za CCM wacha kujiliza kijinga
Pesa ya vitalu haijawahi muacha mtu salama ujangili wote alioufanya mnamuona kama askofu!Mungu ibariki Chadema
Na kwanini atulie kibwege ?
"naona uchungu ,naona uchungu.. nikimkumbuka naye nyarandu naona uchungu naona uchungu, nikiwakumbuka na twiga wetu naona uchungu "
Kigwangwala aliahidi bungeni kumfungulia kesi Nyalandu , badala yake anawindwa yeyePesa ya vitalu haijawahi muacha mtu salama ujangili wote alioufanya mnamuona kama askofu!
Twiga wa Burigi ?
Ohoooo !!!