Nipe Maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 335
- 190
Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Geita kimekemea baadhi ya wanachama wake ambao wanaendesha kampeni za chini chini kabla ya wakati jambo ambalo linakiuka katiba ya chama
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Nicholaus Kasendamila amesema hayo akiwa kijiji cha Nyankanga kata ya Nyamalimbe wilayani Geita
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kasendamila amesema wanaoanza kampeni mapema wanatengeneza migogoro kati ya wananchi na viongozi walioko madarakani
Naye katibu wa CCM mkoa wa Geita Bi. Alexandrina Katabi amesema huu sio wakati wa kuchafuana na badala yake wenye nia ya kugombea waendelee kuwa na subra
Credit - Radio Kwizera
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Nicholaus Kasendamila amesema hayo akiwa kijiji cha Nyankanga kata ya Nyamalimbe wilayani Geita
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kasendamila amesema wanaoanza kampeni mapema wanatengeneza migogoro kati ya wananchi na viongozi walioko madarakani
Naye katibu wa CCM mkoa wa Geita Bi. Alexandrina Katabi amesema huu sio wakati wa kuchafuana na badala yake wenye nia ya kugombea waendelee kuwa na subra
Credit - Radio Kwizera