Adriel Vin
Senior Member
- Jun 25, 2020
- 148
- 748
Mimi ni kijana, mwajiriwa lakini katika kupambana na maisha na kufikiria idea mbalimbali za biashara nilikutana na mdada akanigusia kidogo sana kuhusu biashara ya kununua sigara kwa jumla na kuwauzia wanaouza kwa rejareja. Binafsi sina experience wala mchanganuo wowote kuhusu biashara hii.
Naleta kwenu wadau nikiomba kwa yeyote mwenye mchanganuo wa biashara hii tupeane mawazo. Naomba kuwasilisha
Naleta kwenu wadau nikiomba kwa yeyote mwenye mchanganuo wa biashara hii tupeane mawazo. Naomba kuwasilisha