Gwedu Gwedu
Member
- Jul 14, 2025
- 24
- 11
Habari zenu Wana jukwaa,,,
Naomba msaada kwa yule mwenye uzoefu.Ni bank Gani hapa Dar(Tz) naweza kwenda kulipia Visa kwa ajiri ya appointment US embassy?
Au taratibu za kufuatwa ili niweze kulipia hiyo gharama kwa ajili ya mahojiano,nimeshajaza Ds 160 form,nipo kwenye hatua ya pili ya malipo ,Ila Nina fail na sijui ni bank Gani naweza fanikisha kulipia au kama ni kwa njia ya simu ni taratibu Gani nizifuate( kwenye simu) ili niweze kulipia hiyo gharama (Visa fee)
Tafadhali mwenye uzoefu na ujuzi a au aliyekwisha pitia hatua kama hii anisaidie. Nipo zero kabisa kwa hili,msaada wenu wadau wa Jf.
Naomba msaada kwa yule mwenye uzoefu.Ni bank Gani hapa Dar(Tz) naweza kwenda kulipia Visa kwa ajiri ya appointment US embassy?
Au taratibu za kufuatwa ili niweze kulipia hiyo gharama kwa ajili ya mahojiano,nimeshajaza Ds 160 form,nipo kwenye hatua ya pili ya malipo ,Ila Nina fail na sijui ni bank Gani naweza fanikisha kulipia au kama ni kwa njia ya simu ni taratibu Gani nizifuate( kwenye simu) ili niweze kulipia hiyo gharama (Visa fee)
Tafadhali mwenye uzoefu na ujuzi a au aliyekwisha pitia hatua kama hii anisaidie. Nipo zero kabisa kwa hili,msaada wenu wadau wa Jf.