Na samsung note 10 vip mkuu bei yake ni ipi nzuri kuna sehemu inauzwa kama 1.4m au hiyo ni juu sana ila spec za camera na battery ziko chini au hazina shida
Na samsung note 10 vip mkuu bei yake ni ipi nzuri kuna sehemu inauzwa kama 1.4m au hiyo ni juu sana ila spec za camera na battery ziko chini au hazina shida
Plus ndio ipo vizuri zaidi, na sio mbaya kwa hio bei. Kama ni note 10 kamili bora uangalie varieties za S20 kama S20 FE hii itakupa specs nzuri kuliko Note 10 kwa bei nafuu zaidi.
Plus ndio ipo vizuri zaidi, na sio mbaya kwa hio bei. Kama ni note 10 kamili bora uangalie varieties za S20 kama S20 FE hii itakupa specs nzuri kuliko Note 10 kwa bei nafuu zaidi.