Mwenye uzoefu kuhusu huduma ya banda la mpira( banda umiza)

momara

JF-Expert Member
Jan 24, 2019
463
490
Habari wandugu

Kiukwel nimejitahidi kwa muda kidogo kujitafuta angalau nipate mtaji, nashukuru naona mwanga mbele.

Mtaji wenyewe ni banda la kuonesha mpira, au kama ijulikanavyo kama banda umiza. Binafsi nimevutiwa na kazi hii na napenda msimu huu kwa mapenzi ya Mungu niwe na banda la mpira.

Napata changamoto ya kujua gharama zake hasa upande wa vifaa, kama TV, ving'amuz, n.k

Ndugu zangu mwenye ufahamu kidogo kuhusu hili anijuze kidogo.

Karibu
 
Tv inategemea unataka nchi ngapi,ila kuanzia inch 43-55 inafaa kuoneshea
55"-andaa 1000,000-1200,000(star x)
43"-andaa 400,000-600,000

King'amuzi cha azam kipya 160,000,used 70,000-90,000

Jenereta -300,000 mpaka 450,000

Banda zuri kiasi litakugharimu kuanzia 500,000-1000,000 linaloweza kuchukua watu 150-200

Kama eneo ulilopo litakuwa na mashabiki wa mechi za ulaya inabid kuongeza tv, na king'amuzi cha dstv au canal+

Ila hii biashara kwasasa imekuwa ngumu sana vibanda umiza vimekuwa vingi sana,pia wauza kahawa nao wanaonesha mpira
 
Tv inategemea unataka nchi ngapi,ila kuanzia inch 43-55 inafaa kuoneshea
55"-andaa 1000,000-1200,000(star x)
43"-andaa 400,000-600,000

King'amuzi cha azam kipya 160,000,used 70,000-90,000

Jenereta -300,000 mpaka 450,000

Banda zuri kiasi litakugharimu kuanzia 500,000-1000,000 linaloweza kuchukua watu 150-200

Kama eneo ulilopo litakuwa na mashabiki wa mechi za ulaya inabid kuongeza tv, na king'amuzi cha dstv au canal+

Ila hii biashara kwasasa imekuwa ngumu sana vibanda umiza vimekuwa vingi sana,pia wauza kahawa nao wanaonesha mpira
Na pia betting centres ximeua sana vibanda umiza mana mtu anatoa mkeka afu mechi anachek humo humo
 
Tv inategemea unataka nchi ngapi,ila kuanzia inch 43-55 inafaa kuoneshea
55"-andaa 1000,000-1200,000(star x)
43"-andaa 400,000-600,000

King'amuzi cha azam kipya 160,000,used 70,000-90,000

Jenereta -300,000 mpaka 450,000

Banda zuri kiasi litakugharimu kuanzia 500,000-1000,000 linaloweza kuchukua watu 150-200

Kama eneo ulilopo litakuwa na mashabiki wa mechi za ulaya inabid kuongeza tv, na king'amuzi cha dstv au canal+

Ila hii biashara kwasasa imekuwa ngumu sana vibanda umiza vimekuwa vingi sana,pia wauza kahawa nao wanaonesha mpira
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom