Mwenye uso wa mafuta, tumia mafuta ya ubuyu hutajutia

Kama mimi siyajui nikiwa nanunua ntajuaje Kama haya ndo yenyewe au kanyanga
Kuelekezwa kwa maneno/maandishi matupu ni ngumu.Unatakiwa umkute mtu muaminifu anayeyajua uyaone,unuse,uyanyumbue kama unayadondosha kwa kidole yachuruzike kwa zaidi hata ya mara tatu kwa vipindi tofauti,unaweza kupata uzoefu.
 
Wauzaji wa hayo mafuta wengine ni matapeli.Wanatuuzia mafuta ya pamba wakidanganya ni ya ubuyu.
Haya mafuta nunua maeneo yanapozalishwa mfano Dodoma,ukinununulia sehemu tofauti uwe na uhakika huyo mtu ni muaninifu,vinginevyo utapigwa tu
 
Umesema hutakiwi kuchanganya na chochote saivi ni glycerin unayachanganyia Tena??
Nimejibu huyo aliyesema anangozi kavu,nikamwambia yanafaa pia,ila nikamwambia kama ni kavu sana kiasi kwamba akipaka bado haisaidii anaweza kuchanganya lakini bado haya mafuta yanajitosheleza tu
 
Nimejibu huyo aliyesema anangozi kavu,nikamwambia yanafaa pia,ila nikamwambia kama ni kavu sana kiasi kwamba akipaka bado haisaidii anaweza kuchanganya lakini bado haya mafuta yanajitosheleza tu
Okay sawa nikikutangazia commission inakuwaje??
Hela utazipataje na upo mbali??
 
hata hizi comments sikuweka hii thread,niliweka ile thread ya tiba kwa mimea inayotuzunguka majumbani;

nimeshangaa kukuta comment imehamishiwa huku,kwa hili nasema wazi mods si watu wema,ni kama vile wanagombanisha mtu uonekane una makosa;

kiufupi nilichangia mada kwa kumuomba jamaa kule aendelee kuleta ile ilmu,comment ikafutwa,ndio nikaandika hayo hapo juu wakapiga ban na kuhamishia hii comment kwenye hii thread;

kwa sasa siiamini jf tena;
Aise pole,basi kuna shida mahali
 
Back
Top Bottom