Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,892
- 54,138
Kuelekezwa kwa maneno/maandishi matupu ni ngumu.Unatakiwa umkute mtu muaminifu anayeyajua uyaone,unuse,uyanyumbue kama unayadondosha kwa kidole yachuruzike kwa zaidi hata ya mara tatu kwa vipindi tofauti,unaweza kupata uzoefu.Kama mimi siyajui nikiwa nanunua ntajuaje Kama haya ndo yenyewe au kanyanga