Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
Kuna yeyote ana ushuhuda wa malipo ya 27,000 unaingiza umeme kwa Mara ya kwanza mikoani?
Lisije kuwa jambo La kisiasa
Lisije kuwa jambo La kisiasa
Weka solar kama unakimbia kuingiza umemeBagamoyo mkoa wa Pwani,
Kata ya Nianjema....
Asante sana mkuu kwa uthibitisho huoBagamoyo mkoa wa Pwani,
Kata ya Nianjema...
Asante mkuu nilijua siasa maana bei za dar 320000Mbona muda mrefu Sana mikoani kote unakopita mradi wa REA,
Umeme ni elfu 27 tu
Believe this ... You believe anything...!!!Kuna yeyote ana ushuhuda wa malipo ya 27,000 unaingiza umeme kwa Mara ya kwanza mikoani?
Lisije kuwa jambo La kisiasa
[emoji848][emoji848][emoji848]nikimbie kuingiza umeme ilhali nina umeme tayari.Weka solar kama unakimbia kuingiza umeme
Mlandizi sisi tunewekewa mwaka Jana tu kwa Bei hiyoKuna yeyote ana ushuhuda wa malipo ya 27,000 unaingiza umeme kwa Mara ya kwanza mikoani?
Lisije kuwa jambo La kisiasa
Hii ni kwa mijini maana ata Kibaha mjini Bei ni laki tatu na ishirini lakini kibaha vijijini ni 27000 tu itazidi kidogo Kama nguzo ipo mbaliAsante mkuu nilijua siasa maana bei za dar 320000
Hii ni kwa mijini maana ata Kibaha mjini Bei ni laki tatu na ishirini lakini kibaha vijijini ni 27000 tu itazidi kidogo Kama nguzo ipo mbali
Hapana mkuu hiyo ni bei elekezi kwa mikoani ndio maana nimeliuliza walionufaika kama hujui hiyo ni bei halisi wawekee home wasilale giza huku elfu 27 unaipigia SavannahNina mashaka Mleta mada kajichanganya uulizaji wake, kwa hiyo majibu atakayopewa hayatamsaidia.
Mana yake ni sawa na mtu anayeuliza Mazishi ya marehemu lini? Kumbe alitakiwa aulize maziko ya marehemu lini?
Kwa hiyo atajibiwa kulingana na swali lake na jibu atakayopewa ni sahihi Ila siyo lenye uhalisia.
Nguzo laki mbiliKwani si wanasemaga na nguzo ni bure au?
Dar pia tumeweka kwa 27Asante mkuu nilijua siasa maana bei za dar 320000
Jiwe tutamkumbuka sanaKibaha niliweka umeme mwaka 2019 kwa 27,000 kwa bei hiyo hiyo niliweka kwenye nyumba ninayokaa kwa hasira nikaweka na kwenye frem huko nje.
Mengine yaliwezekana enzi za rais wetu jiwe.