Kilimo cha Vanilla nchini Tanzania

Kilimo kigumu sana hicho hasa ikifikia kwenye uchavushaji!

Ukikipatia ukakitolea jasho, ukafumbia macho mengineyo, hutojutia, wengine kilitushinda.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Nimesikia bei ya kilo moja ya Vanilla ni laki tisa hadi milioni moja. Kwa haraka haraka niona pesa ya fastafasta.

Mwenye ujuzi wa namna ya uzalishaji wa zao hili naomba anipe uzoefu wake. Kuanzia uzalishaji,hali ya hewa,na changamoto zake.

Asante.
 
Nimesikia bei ya kilo moja ya Vanilla ni laki tisa hadi milioni moja. Kwa haraka haraka niona pesa ya Fasta Fasta.

Mwenye ujuzi wa namna ya uzalishaji wa zao hili naomba anipe uzoefu wake. Kuanzia uzalishaji,hali ya hewa,na changamoto zake. Asante.
Sijui kama umepata taarifa sahihi mkuu.

Enewei wajuvi watakuja kuelimisha
 
Vanilla ni zao linalohitaji uangalizi na ufatiriaji wa karibu sana katika kurihudumia mpaka mavuno, pindi likiwa shambani muda wa uchavushaji utatakiwa kufanya uchavushaji mwenyewe, siyo Kama mazao mengine ambayo yanajichavusha yenyewe kwa kutegemea upepo na wadudu Kama nyuki, kwa vanilla unafanya mwenye mmea badala ya mmea kwa kuchukua sehemu ya kiume unaikitanisha na sehemu ya kike.

Pia baada ya mavuno Kuna posthaversting process Kama kuchemsha vanilla ndani ya maji kwa nyuzi joto 60c kwa dakika kadhaa, kuanika juani kwa muda wa siku kadhaa, hapo Kuna vitu maalumu vya kuhifadhia pale unapotoa juani ili kuhifadhi ili kesho uanike tena.

Baada ya process zote hizo mwisho wa siku ndiyo utasaga ili kupata unga wenyewe. Mm nilipata fursa ya kuona kilimo chake kilivyo miaka mingi kidogo.

Kipindi hicho nasoma Bukoba huko chuo Cha kilimo ndiyo maana nimetoa taarifa za juu juu. Ila kinachofanya vanilla iwe na bei kubwa ni ugumu wa kilimo hicho. 2015 bei kwa kilo Kama nakumbuka vizuri bei ilikua ni Kama 60000
 
Vanilla ni zao linalohitaji uangalizi na ufatiriaji wa karibu sana katika kurihudumia mpaka mavuno, pindi likiwa shambani muda wa uchavushaji utatakiwa kufanya uchavushaji mwenyewe, siyo Kama mazao mengine ambayo yanajichavusha yenyewe kwa kutegemea upepo na wadudu Kama nyuki, kwa vanilla unafanya mwenye mmea badala ya mmea kwa kuchukua sehemu ya kiume unaikitanisha na sehemu ya kike. Pia baada ya mavuno Kuna posthaversting process Kama kuchemsha vanilla ndani ya maji kwa nyuzi joto 60c kwa dakika kadhaa, kuanika juani kwa muda wa siku kadhaa, hapo Kuna vitu maalumu vya kuhifadhia pale unapotoa juani ili kuhifadhi ili kesho uanike tena. Baada ya process zote hizo mwisho wa siku ndiyo utasaga ili kupata unga wenyewe. Mm nilipata fursa ya kuona kilimo chake kilivyo miaka mingi kidogo. Kipindi hicho nasoma Bukoba huko chuo Cha kilimo ndiyo maana nimetoa taarifa za juu juu. Ila kinachofanya vanilla iwe na bei kubwa ni ugumu wa kilimo hicho. 2015 bei kwa kilo Kama nakumbuka vizuri bei ilikua ni Kama 60000
Mwee! mbombo ngafu malafyale.Asante kwa maelezo.
 
Kwa haraka haraka niona pesa ya fastafasta.

Mkuu Vanilla sio hela la Fasta..

Kutoka kupanda hadi kuvuna huchukua muda wa miaka 2 hadi 3.. Taratibu za upandaji wa hili zao sio rahisi sana japo ukiwa na nia zinawezekana.

REJEA

 
Kwa TZ ukiondoa Bukoba ni mikoa gani inazalisha zao hilo au mikoa gani inaweza zalisha mi nipo Iringa.
Mikoa/wilaya ambazo hali ya hewa na ardhi inaruhusu kilimo cha migomba,kahawa,parachichi,Maeneo hayo Vanila inastawi,mikoa kama Mbeya,Morogoro maeneo ya milimani,Tanga kwa baadhi ya wilaya,Arusha,K'njaro,Dom kwa baadhi ya wilaya etc
 
Kama ukihitaji miche ya vanilla karibu nikuhudumie.Tunapatikana SUA,horticulture,mche ni sh 5000
0719527062/0757056472
 
Vanilla ni zao linalohitaji uangalizi na ufatiriaji wa karibu sana katika kurihudumia mpaka mavuno, pindi likiwa shambani muda wa uchavushaji utatakiwa kufanya uchavushaji mwenyewe, siyo Kama mazao mengine ambayo yanajichavusha yenyewe kwa kutegemea upepo na wadudu Kama nyuki, kwa vanilla unafanya mwenye mmea badala ya mmea kwa kuchukua sehemu ya kiume unaikitanisha na sehemu ya kike.

Pia baada ya mavuno Kuna posthaversting process Kama kuchemsha vanilla ndani ya maji kwa nyuzi joto 60c kwa dakika kadhaa, kuanika juani kwa muda wa siku kadhaa, hapo Kuna vitu maalumu vya kuhifadhia pale unapotoa juani ili kuhifadhi ili kesho uanike tena.

Baada ya process zote hizo mwisho wa siku ndiyo utasaga ili kupata unga wenyewe. Mm nilipata fursa ya kuona kilimo chake kilivyo miaka mingi kidogo.

Kipindi hicho nasoma Bukoba huko chuo Cha kilimo ndiyo maana nimetoa taarifa za juu juu. Ila kinachofanya vanilla iwe na bei kubwa ni ugumu wa kilimo hicho. 2015 bei kwa kilo Kama nakumbuka vizuri bei ilikua ni Kama 60000
Kumbe ni kilimo kigumu kiasi hiki, nitaendelea kulima mahindi tu.
 
Salama wanajamvi,

Sitaki kuandika mengi sana ila wakulima wa nchi hii wanapitia mengi sana magumu hasa kutokana na ukosefu wa taarifa sahihi na utaalamu , basi ngoja niwaletee stori ambayo nimeitoa kwenye group Moja la WhatsApp kuhusu kilimo cha Vanilla je ni kweli? Kila mmoja adondoshe comment yake Ili tupate maarifa , naanza na hawa jamaa wa Vanilla international huwa nawasikia sana

C&P
VANILLA INTERNATIONAL LIMITED
napenda kukualika KWENYE kilimo Cha Hela nyingi Cha ZAO LA VANILLA. Wekeza pesa kwa ili tukusaidie kukujengea Banda kitalu yaani SHAMBA kitalu (GREENHOUSE) kwa ajili ya KUKUPANDIA marando ya VANILLA ambayo ndilo zao namba moja kwa kuzaa sana na kwa kuwa na BEI KUBWA KWA KILO MOJA. Wastani wa BEI YA VANILLA NI TZS 1,500,000/=

MATARAJIO YA MAVUNO YA VANILLA:
Mche mmoja wa VANILLA INAZAA matawi 10 kwa mwaka na kampuni ya VANILLA INTERNATIONAL LIMITED inanunua matawi(marando) kwa Tzs 20,000/= kwa kila random(#VANILLACUTTINGS).

Hii Ina maana kuwa mche mmoja wa VANILLA utakuzalishia Tzs 200,000/= kwa kila MWAKA KWA KUUZA MARANDO TU(#VANILLACUTTINGS). Kwa hiyo ukiwa na Miche 100 itakuzalishia Tzs Milioni 20 kwa KUUZA MARANDO YA VANILLA (#VANILLACUTTINGS).

VANILLA BEANS (MAHARAGE YA BANILLA):
Mche mmoja wa VANILLA UNAZAA kilo 15 kwa wastani na Bei ya Vanilla mbichi kwa kilo ni TZS 220,000/= na hivyo kukupatia mpaka Tzs 3,000,000/= kwa mche mmoja. Kwa KIFUPI ZAO LA VANILLA LINA PESA KULIKO MRADI WOWOTE WA KILIMO. I MEAN VANILLA HAIFANANI NA MAHINDI, KAHAWA, KUNDE, PARACHICHI,MITI, MAHARAGE, VIAZI, STRAWBERRY, NDIZI WALA MPUNGA KAMA ULE MRADI WA MASANJA MKANDAMIZAJI.

MAADA itaendelea hivi karibuni.
Ila waweza kupata baadhi ya GHARAMA ZA GREENHOUSES ZA VANILLA:
UKUBWA (SQM) BEI(000,000/=)
40. 3
72. 4
120. 6.2
200. 8.7
300. 12
400. 18
600. . 22
800 . 25
ROBO HEKA . 33
NUSU HEKA . 56
HEKA. 87
HEKA 2. 140
HEKA 4. 200.

(Negotiable).
Nb: LAZIMA UWE NA MTAJI
 
Back
Top Bottom