Mwenye ujuzi na hili tatizo naomba msaada

Mwenye ujuzi na hili tatizo naomba msaada

Jawai

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2011
Posts
530
Reaction score
407
Poleni na majukumu ndugu zangu wa Jamii Forums.

Wakuu nina laptop yangu Acer ASPIRE E1-531, Nilinunua ikiwa haina OS yoyote nikaweka Window 7 Ultimate ya 32-Bits. Kuna tatizo linalonisumbua kwa muda mrefu sasa, nikiwa nafanya kazi zangu kwenye hii laptop huwa inajizima ghafla na inadisplay rangi ya blue yenye maandishi mengi (Nime attach picha yenye maandishi hayo), kazi zangu zote nilizokuwa ninafanya huwa zinapotea hata kama nikiwa nimesave muda mfupi uliopita.

Sasa ninaomba msaada wenu kama kuna mwenye ujuzi wa jinsi ya kutatua hili tatizo.

Natanguliza shukrani zangu.
 

Attachments

  • 20150520_075057.jpg
    20150520_075057.jpg
    281.7 KB · Views: 95
Probably tatizo litakuwa ni HDD fragment, tafuta sotware ya ku-fix ukiona tatizo linaendelea ni bora ukamtafuta fundi akusaidie kutatua
 
Probably tatizo litakuwa ni HDD fragment, tafuta sotware ya ku-fix ukiona tatizo linaendelea ni bora ukamtafuta fundi akusaidie kutatua

Asante sana ngoja nitafute hiyo soft ware kwanza.
 
Back
Top Bottom