Mwenye uhitaji wa mtaalamu wa ufugaji wa samaki na viumbe wengine (Fish Farm Manager)

muhala.jr

JF-Expert Member
Jul 25, 2014
728
600
Habari wadau wa jf. Kumekua na shida ya watu kadhaa kuhitaji kufanya ufugaji wa samaki ila wanakosa mtaalamu wa kusimamia mradi mwenye uelewa wa ufugaji huo.hivyo kwa yoyote mwenye uhitaji wa mtaalamu kwa nia ya kumuajiri na kufanya nae kazi ya mradi huo wa fish farming.mtaalamu ni wa level ya degree ya aquaculture na uzoefu anaweza kufanya kazi mahali popote kama full time au party time katika maswala yote ya ufugaji kuanzia utunzaji wa samaki na utengenezaji wa chakula cha samaki. Alie tayari anaweza kunitafuta kwa namba 0717451771. Na maswali yote yanayohusu fish farming na ujengaji wa mabwawa na facilities zote za ufugaji pia yatajibiwa,.ahsanteni
 
Habari wadau wa jf. Kumekua na shida ya watu kadhaa kuhitaji kufanya ufugaji wa samaki ila wanakosa mtaalamu wa kusimamia mradi mwenye uelewa wa ufugaji huo.hivyo kwa yoyote mwenye uhitaji wa mtaalamu kwa nia ya kumuajiri na kufanya nae kazi ya mradi huo wa fish farming.mtaalamu ni wa level ya degree ya aquaculture na uzoefu anaweza kufanya kazi mahali popote kama full time au party time katika maswala yote ya ufugaji kuanzia utunzaji wa samaki na utengenezaji wa chakula cha samaki. Alie tayari anaweza kunitafuta kwa namba 0717451771. Na maswali yote yanayohusu fish farming na ujengaji wa mabwawa na facilities zote za ufugaji pia yatajibiwa,.ahsanteni

mtaalam una uzoefu wa muda gani kwenye hiyo kazi?
 
Two years experience

1. Gharama za uandaaji mahali pa kufugia, eno ambalo linafaa ikiwa pamoja na ukubwa wa eneo na mahitaji husika kwa ajili ya ujenzi.
2. Upatikanaji wake, vyakula na gharama zake.
3. Mda wa ufugaji hadi kufikia kuuza, soko lake na faida kulingana na kiasi utakachoshauri kuanza nacho hapo namba moja.

Nategemea majibu yako kulingana na uzoefu wako yakanisababisha kufikiria hili maana wengine tuna maeneo nje ya mji ambayo yapo tu.
 
Tuwasiliane tujue mtaji kiasi gani kwa kuwa nina eneo lenye maji ya kutosha katika kisima maeneo ya Kibiti. yangu 0719741314
 
1. Gharama za uandaaji mahali pa kufugia, eno ambalo linafaa ikiwa pamoja na ukubwa wa eneo na mahitaji husika kwa ajili ya ujenzi.
2. Upatikanaji wake, vyakula na gharama zake.
3. Mda wa ufugaji hadi kufikia kuuza, soko lake na faida kulingana na kiasi utakachoshauri kuanza nacho hapo namba moja.

Nategemea majibu yako kulingana na uzoefu wako yakanisababisha kufikiria hili maana wengine tuna maeneo nje ya mji ambayo yapo tu.

Tukianza na 1.tegemea na eneo lako na aina ya udongo kama udongo utakua mzur na unaweza kuhifadhi maji basi unawez kuchimb kawaida tuu na bila kujengea then ukafuga. Apo garama UA kati ya laki 6 adi 8 Kw bwawa LA ukubwa wa Mita 15 Kw 20 au kumi Kw 20 .lakin kama utajengea garma itaongezeka ya ujenz ambapo Kw size hiyo huwez kufika 2.5 mil.up to 3mil.
 
Tukianza na 1.tegemea na eneo lako na aina ya udongo kama udongo utakua mzur na unaweza kuhifadhi maji basi unawez kuchimb kawaida tuu na bila kujengea then ukafuga. Apo garama UA kati ya laki 6 adi 8 Kw bwawa LA ukubwa wa Mita 15 Kw 20 au kumi Kw 20 .lakin kama utajengea garma itaongezeka ya ujenz ambapo Kw size hiyo huwez kufika 2.5 mil.up to 3mil.

Vyakula vipo vya aina mbili unaweza kua unanunua ama unatengeneza mwenyewe pia. Kutokana na upatikanaji wa materials tuu. Garama ina varies kutokana na eneo husika. Na wakati..
 
Tukianza na 1.tegemea na eneo lako na aina ya udongo kama udongo utakua mzur na unaweza kuhifadhi maji basi unawez kuchimb kawaida tuu na bila kujengea then ukafuga. Apo garama UA kati ya laki 6 adi 8 Kw bwawa LA ukubwa wa Mita 15 Kw 20 au kumi Kw 20 .lakin kama utajengea garma itaongezeka ya ujenz ambapo Kw size hiyo huwez kufika 2.5 mil.up to 3mil.

Finally nipe email ako nikupe full description
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom