Mwenye Ufahamu wa jinsi ya kujiunga na chuo kilimo na mifugo

kabagile

Member
Jan 15, 2016
64
11
Nataka kujua jinsi gani yakujiunga na vyuo hivi vya kilimo na mifugo.

Maana utaratibu ulowekwa na nacte kwenye Mtandao kwa vyuo hivo haupatikani kama vyuo vya Ualimu na Afya.
 
Nataka kujua jinsi gani yakujiunga na vyuo hivi vya kilimo na mifugo.

Maana utaratibu ulowekwa na nacte kwenye Mtandao kwa vyuo hivo haupatikani kama vyuo vya Ualimu na Afya.
mkuu ni kwamba kamA unataka kusoma hzo kozi za kilimo katika vyuo vya serikali nenda kaombe kuptia nacte lakn kama vyuo unavyovihtaj havipo ,ingia wbst ya wizara ya kilimo utakuta document ambayo itakupa muongozo jins ya kuomba vyuo vya serkal direct pia utakuta application form ambayo gharama yake ni 30000 .lakn kuna document nyngne yenye orodha ya vyuo vya kilimo vya serkali.
 
Mbona wenzio wanajiunga kupitia NACTE mkuu, wewe iweje useme hauvioni? Nenda www.nacte.go.tz halafu chagua central admission system halafu chagua category ya agriculture omba chuo hapo. By the way unataka kusoma general agriculture? na ni ngazi gani cheti au diploma?

NB;- Unaweza ukaamua kutokujibu hayo maswali, sijali.
 
Back
Top Bottom