Mwenye ufahamu wa hawa jamaa

MAUBIG

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,038
854
kuna watu wanaiotwa A3 institute of Professional Studies kama wawajua tujuze
 
Poa mwana google kisha tuambie, mana kuna nafasi fulanh za kazi wametangaza kupitia zoomtanzania
 
hiki chuo kipo maeneo ya fire-dsm kabisa pale kwenye mataa ya fire unakiona, ni chuo cha wahindi NA MOST OF THE STUDENT NI WAHIND ,KATIKA REPUTATION HERE IN DSM SIO KIVILE NI KAMA VILE NEW HORIZON CURICULUMN ZAO ZILIVYO NI CHUO KIDOGO TU KWANI WEWE UKO WAPI?SIJUI ZAIDI YA HAPO MKUU
 
Thanks kwa taarifa mkuu, mie nipo dom, wametangaza nafasi za tutors na mid sifa ninazo, vp kama unafahamu maslahi yao maana kama wamiliki ni wahindi hawa jamaa wana sifa za unyonyaji kimaslahi, please tujuzane tusije ingia choo cha kike
 
Omba kazi then ukiitwa kwa interview uta-negotiate nao ishu za maslahi. Acha kuwa mwoga!
 
Mwache aendeleze uoga wake maana usimwamshe alielala kama hataki kuamka mpaka labda kuwe na tetemeko au sunami, wengine wanaaply maswali hayo mengine watayajua wakiitwa kenye interview.Sasa wewe hata kuaply hujaaply unaanza kuulizia maslahi
 
kama hujui nadhani itakuwa ni busara kukaa kimya soma kisha pita
 
Back
Top Bottom