alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Ana ujauzito wa mwezi mmoja.,kichwa kinamuuma sana,anachoka,viungo pia vinamuuma.Anatamani kumeza dawa ila amekuwa na hofu maana hajajua dawa ambazo zitakuwa salama.
Amepima malaria hana.,mwenye ufahamu msaada wako tafadhari.
Amepima malaria hana.,mwenye ufahamu msaada wako tafadhari.