Mwenye ufahamu na simu ya iPhone 7 anisaidie

Mwenye ufahamu na simu ya iPhone 7 anisaidie

ukishaweka  ID yako log in alafu hapa hapo restart simu yako
IMG_3105.jpg



Ukirestart maana yake itajiwasha tena so wait ikiwaka tena, nenda apps store fanya mambo yako unayotaka.


Ukiona bado inakuzingua nenda kachek kama icloud yako bado inafanya kazi au imelala Apple - Support - System Status
 
Na kwanini atupe? Kwani haipigi na kupokea? Hai receive na kutuma docs?

Hapa nataka nikiokota hela ninunue iPhone 5 ya 2012.. kiroho safi [emoji41]

Una alik kama zangu ww! Nanunua iphone 11 leo baada ya wik mbil mwez nauza! Ila naamin nikiwa na iphone 5s nitadum nayo maana hakuna atakaenisumbua. Ila lzima nitume iphone maana nishakuwa edicted
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom