Duh?Imenipa shida kidogo kila ninapofungua file au kudownlod file lolote inaniambia niweke iphone ID. Nimeshindwa cha kufanya
Na kwanini atupe? Kwani haipigi na kupokea? Hai receive na kutuma docs?Simu ya mwaka 2016 unapambana nayo mpaka leo kweli...tupa hiyo.
Kila Unachotaka Kudownlod Inabidi Uweke Apple IdImenipa shida kidogo kila ninapofungua file au kudownlod file lolote inaniambia niweke iphone ID. Nimeshindwa cha kufanya
Simu ni yako au ulinunua kwa mtu??Imenipa shida kidogo kila ninapofungua file au kudownlod file lolote inaniambia niweke iphone ID. Nimeshindwa cha kufanya
eka ur iphone ID password au visitImenipa shida kidogo kila ninapofungua file au kudownlod file lolote inaniambia niweke iphone ID. Nimeshindwa cha kufanya
unatakiwa uitengeneze apple id kwanza.Imenipa shida kidogo kila ninapofungua file au kudownlod file lolote inaniambia niweke iphone ID nimeshindwa cha kufanya
Oksimu ya 2016 ni outdate ni za wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo au secondary au mawakala wa simu .. entry level wa iPhone
Ni sawa na kununua torch maana hata whatsapp haitoingiaNa kwanini atupe? Kwani haipigi na kupokea? Hai receive na kutuma docs?
Hapa nataka nikiokota hela ninunue iPhone 5 ya 2012.. kiroho safi 😎
Nitaka update bana kataingia 🤣 na katapata software version 15:4:1 IJNNi sawa na kununua torch maana hata whatsapp haitoingia
Mh hyo itakuwa ajabu mkuu. Mimi napenda tumia tu simu latest bora niwe hata na midrange lakini latest siwezi nunua simu flagship hata ya miaka 3 iliopitaNitaka update bana kataingia 🤣 na katapata software version 15:4:1 IJN
Motivational speakers bana.Simu ya mwaka 2016 unapambana nayo mpaka leo kweli...tupa hiyo.