Mr. Teacher
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 330
- 88
Nafkiri hujaelewa nlichomanisha, mimi nilipinga alysema kuwa kama DED hayupo wa kukaimi ni Afisa Elimu tu, ndo nkafafanua anyone Aliye Mkuu wa Idara anaweza kukaimu, ndo nkatoa na badhi ya mifanoHata afisa elim anakaimu ndg ilimrad ni mkuu wa idara yake....me nishashuhudia ded akiwa hayupo na afisa mipango hayupo basi afsa elim sekondari alikaimu