Hivi Mkurugenzi mmoja wa halmashauri kukaa kituo kimoja kwa zaidi ya miaka 3 hakuwezi kuwa sababu ya kutengeneza ufisadi?

KING KIGODA

JF-Expert Member
Dec 28, 2018
3,756
2,999
Nimekuwepo kwenye utumishi wa umma huu mwaka 4 sasa katika halmashauri moja huku mkoani Morogoro.Tangu nilipofika katika halmashauri hii 2020 nilimkuta mkurugenzi ambaye tayari alikuwepo hapa tangu 2018.

Kwa muda huu wa miaka 3 ambao nimekuwepo hapa,nimeona na kusikia dili nyingi za kifisadi zikifanyika kupitia mtandao wa maafsa waliotengenezwa na mkurugenzi huyo ili kupitisha dili chafu. Mbinu anayotumia kuwateka maafsa hao ni pamoja na kuwatengenezea mazingara magumu ya kiutendaji na kimaslahi, huku akiwajengea uoga kwa kuwakaripia na wengine kutowapa majukumu yao ya kiofisi kabisa.Haya mambo aliyafanya kwa muda wa kati ya mwaka 1 hadi 2 kwa mujbu wa watumishi niliowakuta hapo,na kwa wale waliojishusha na kukubali kupelekwapelekwa kwa matakwa yake,ndiyo baadae walikuja kuwa njia ya kupitisha dili zake chafu mpaka leo.

Mimi kwa ushuhuda wangu mwenyewe nimethibitisha kupitia Afsa usafirisha wa halmashauri ambaye yeye alibaki na msimamo wa kufuata kanuni na taratibu za kazi yake,akiewekwa pembeni na na nafasi yake kupewa Afisa mmoja wa elimu msingi,yeye mwenye taaluma yake amekuwa msoma magazeti ofisini bila ya jukumu lolote mwaka wa 2 huu sasa.

Kwa kupitia TO wa mchongo,pesa kuanzia za matengenezo ya gari,mafuta,vipuri n.k zinapigwa na magari ni mabovu siku zote.Utaratibu wa kisheria wa ukaguzi wa magonjwa ya gari na matengenezo haufuatwi tena na gari zinatengenezwa mitaani kwa gharama ndogo huku zimetolewa pesa nyingi.

Wito wangu ni kwa Rais Samia, asijiamini kwamba huku chini pako vizuri na kumbe ndiyo kunaufisadi mkubwa unaosababishwa na hawa wakurugenzi kwa kukaa halmashauri moja muda mrefu na kupelekea kutengeneza cheni za upigaji.

Kifupi ufisadi ni janga kubwa kwa sasa.
 
Nimekuwepo kwenye utumishi wa umma huu mwaka 4 sasa katika halmashauri moja huku mkoani Morogoro.Tangu nilipofika katika halmashauri hii 2020 nilimkuta mkurugenzi ambaye tayari alikuwepo hapa tangu 2018.

Kwa muda huu wa miaka 3 ambao nimekuwepo hapa,nimeona na kusikia dili nyingi za kifisadi zikifanyika kupitia mtandao wa maafsa waliotengenezwa na mkurugenzi huyo ili kupitisha dili chafu. Mbinu anayotumia kuwateka maafsa hao ni pamoja na kuwatengenezea mazingara magumu ya kiutendaji na kimaslahi, huku akiwajengea uoga kwa kuwakaripia na wengine kutowapa majukumu yao ya kiofisi kabisa.Haya mambo aliyafanya kwa muda wa kati ya mwaka 1 hadi 2 kwa mujbu wa watumishi niliowakuta hapo,na kwa wale waliojishusha na kukubali kupelekwapelekwa kwa matakwa yake,ndiyo baadae walikuja kuwa njia ya kupitisha dili zake chafu mpaka leo.

Mimi kwa ushuhuda wangu mwenyewe nimethibitisha kupitia Afsa usafirisha wa halmashauri ambaye yeye alibaki na msimamo wa kufuata kanuni na taratibu za kazi yake,akiewekwa pembeni na na nafasi yake kupewa Afisa mmoja wa elimu msingi,yeye mwenye taaluma yake amekuwa msoma magazeti ofisini bila ya jukumu lolote mwaka wa 2 huu sasa.

Kwa kupitia TO wa mchongo,pesa kuanzia za matengenezo ya gari,mafuta,vipuri n.k zinapigwa na magari ni mabovu siku zote.Utaratibu wa kisheria wa ukaguzi wa magonjwa ya gari na matengenezo haufuatwi tena na gari zinatengenezwa mitaani kwa gharama ndogo huku zimetolewa pesa nyingi.

Wito wangu ni kwa Rais Samia, asijiamini kwamba huku chini pako vizuri na kumbe ndiyo kunaufisadi mkubwa unaosababishwa na hawa wakurugenzi kwa kukaa halmashauri moja muda mrefu na kupelekea kutengeneza cheni za upigaji.

Kifupi ufisadi ni janga kubwa kwa sasa.
Bila kutaja hizo deal chafu na kumtaja yy mwenyewe kwa jina basi ulichokiandika ni umbea.
 
Nimekuwepo kwenye utumishi wa umma huu mwaka 4 sasa katika halmashauri moja huku mkoani Morogoro.Tangu nilipofika katika halmashauri hii 2020 nilimkuta mkurugenzi ambaye tayari alikuwepo hapa tangu 2018.

Kwa muda huu wa miaka 3 ambao nimekuwepo hapa,nimeona na kusikia dili nyingi za kifisadi zikifanyika kupitia mtandao wa maafsa waliotengenezwa na mkurugenzi huyo ili kupitisha dili chafu. Mbinu anayotumia kuwateka maafsa hao ni pamoja na kuwatengenezea mazingara magumu ya kiutendaji na kimaslahi, huku akiwajengea uoga kwa kuwakaripia na wengine kutowapa majukumu yao ya kiofisi kabisa.Haya mambo aliyafanya kwa muda wa kati ya mwaka 1 hadi 2 kwa mujbu wa watumishi niliowakuta hapo,na kwa wale waliojishusha na kukubali kupelekwapelekwa kwa matakwa yake,ndiyo baadae walikuja kuwa njia ya kupitisha dili zake chafu mpaka leo.

Mimi kwa ushuhuda wangu mwenyewe nimethibitisha kupitia Afsa usafirisha wa halmashauri ambaye yeye alibaki na msimamo wa kufuata kanuni na taratibu za kazi yake,akiewekwa pembeni na na nafasi yake kupewa Afisa mmoja wa elimu msingi,yeye mwenye taaluma yake amekuwa msoma magazeti ofisini bila ya jukumu lolote mwaka wa 2 huu sasa.

Kwa kupitia TO wa mchongo,pesa kuanzia za matengenezo ya gari,mafuta,vipuri n.k zinapigwa na magari ni mabovu siku zote.Utaratibu wa kisheria wa ukaguzi wa magonjwa ya gari na matengenezo haufuatwi tena na gari zinatengenezwa mitaani kwa gharama ndogo huku zimetolewa pesa nyingi.

Wito wangu ni kwa Rais Samia, asijiamini kwamba huku chini pako vizuri na kumbe ndiyo kunaufisadi mkubwa unaosababishwa na hawa wakurugenzi kwa kukaa halmashauri moja muda mrefu na kupelekea kutengeneza cheni za upigaji.

Kifupi ufisadi ni janga kubwa kwa sasa.
Huyo Mkurugenzi kakaa kwa muda mrefu inawezekana ni mlipaji mzuri wa Malimbuko na fungu la Kumi katika madhabahu ya Chamwino.
 
Huyo Mkurugenzi kakaa kwa muda mrefu inawezekana ni mlipaji mzuri wa Malimbuko na fungu la Kumi katika madhabahu ya Chamwino.
Sio wakurugenzi tu,wamulikwe pia Chief Accountant wa Wizara,kuna baadhi wamekaa miaka 15 kituo kimoja cha kazi,wakipewa uhamisho wanaenda kuhonga Utumishi mfano Chief Accountant Wa Wizara ya Afya amekaa muda mrefu enzi za Blandina Nyoni akiwa Katibu Mkuu wa Wizara
 
Bila shaka
Unamzungumzia Engineer Stephano B. Kaliwa,

mkurugenz halmashaur ya mlimba, Yuko pale tangu 2018 Kama skosei

Jamaa Ni mchapakazi sana na mzalendo Sana. Ukiwa na shida pale ofsin hata usiku wa manane au wikendi Hana noma ukipigia anaweza kuja kukuhudumia kiroho Safi mpk ukaridhika.

Mbali na ya Malalamiko ya mtoa mada,

Ukiangalia vzur kitakwimu,
halmashaur Yake bado ni changa ila inakimbiza balaa kimapato mkoa mzima wa moro ikizidiwa TU moro mjini.

Jamaa Ni Mbunifu mno wa vyanzo vya mapato,Ni msikilizaji mzur wa wawekezaji wa mpunga na maliasili, anabembeleza wawekezaji, anagawa Hadi Mashamba bure Watu walime mzunguko wa pesa uwepo.

japo Kuna MDA anazingua sn ktk ubunifu wa tozo zake ila mnyonge mnyongeni yote Ni Katika kujenga. Ni msikivu na msikilizaji mzuri,mnaweza muita mezani mkayazungumza akalegeza au kufuta kabisa tozo husika mkaendelea kufanya kazi.

Pia kielimu,
halmashaur yake japo Ni changa,
Ila inaongoza Sana kufaulisha level zote kuanzia std4,std7 na form iv kwa mkoa mzima wa moro ikizidiwa TU na manispaa ya Moro.

Jamaa kawapa malengo na mikataba waalimu ya kufaulisha, wanaofaulisha na utoa motisha MBALIMBALI. Ukifelisha utatakiwa kujieleza.

Halmashaur ya jamaa
shule kibao za kata tena ndani ndani huko hata miundombinu ni Changamoto Ila zishafuta division sifuri form 4.
Unabisha kaangalie matokeo ya necta.

Wafanyakazi wengi wa halmashaur ile hawampendi jamaa maana jamaa haendekezi uzembe, ukizingua unawajibishwa pale pale, anaziara kibao za kushtukiza, hajakukuta kazini utapaswa kujieleza. Jamaa anasikiliza sn wananchi na wadau wa maendeleo.

Jamaa hataki kuskia urasimu wa Aina yoyote pale halmashaur, ukienda unahudumiwa chap unaondoka zako.
Vile vibahasha vya kihuni huni na urasimu Kama zamani wafanyakaz wanaanza kuringa na kukuhudumia wanavojiskia pale halmashaur kwake hamna kabisa.

Jamaa akiwepo ofsn huwez kuona mtumish yoyote pale halmshauri anazubaa au kukuchelewesha foleni,mteja unahudumiwa vzur mpk unaridhika unaondoka zako.

Pia wafanyakaz wengi wanamsagia kunguni Ili ahamishwe ili aje mwngn, waweze kurelax, na Kupiga madili yao.

Pia watumish wengi hawapapendi mlimba kule sababu Ni pori na Chaka sana,kila anaeajiriwa kule anataka kuhama kuhamia halmashaur za mijini.

jamaa anabana hataki, umeajiriwa ufanye kazi nchini Tanzania, Kama upataki mlimba-mazingira ni mabaya.
unataka Nani Sasa akakae uko mlimba?

Falsafa ya jamaa Ni hataki kuhamisha wafanyakazi, otherwise una solid evidence.
Watumish wabaki vituo vyao vya kazi wachape kazi halmashaur bado changa ile ipate mapato ya kutosha iweze kujiendesha na kukua.

KITU AMBACHO KWA JICHO LA KIMAENDELEO,JAMAA YUKO SAHII SANA.
 
Nimekuwepo kwenye utumishi wa umma huu mwaka 4 sasa katika halmashauri moja huku mkoani Morogoro.Tangu nilipofika katika halmashauri hii 2020 nilimkuta mkurugenzi ambaye tayari alikuwepo hapa tangu 2018.

Kwa muda huu wa miaka 3 ambao nimekuwepo hapa,nimeona na kusikia dili nyingi za kifisadi zikifanyika kupitia mtandao wa maafsa waliotengenezwa na mkurugenzi huyo ili kupitisha dili chafu. Mbinu anayotumia kuwateka maafsa hao ni pamoja na kuwatengenezea mazingara magumu ya kiutendaji na kimaslahi, huku akiwajengea uoga kwa kuwakaripia na wengine kutowapa majukumu yao ya kiofisi kabisa.Haya mambo aliyafanya kwa muda wa kati ya mwaka 1 hadi 2 kwa mujbu wa watumishi niliowakuta hapo,na kwa wale waliojishusha na kukubali kupelekwapelekwa kwa matakwa yake,ndiyo baadae walikuja kuwa njia ya kupitisha dili zake chafu mpaka leo.

Mimi kwa ushuhuda wangu mwenyewe nimethibitisha kupitia Afsa usafirisha wa halmashauri ambaye yeye alibaki na msimamo wa kufuata kanuni na taratibu za kazi yake,akiewekwa pembeni na na nafasi yake kupewa Afisa mmoja wa elimu msingi,yeye mwenye taaluma yake amekuwa msoma magazeti ofisini bila ya jukumu lolote mwaka wa 2 huu sasa.

Kwa kupitia TO wa mchongo,pesa kuanzia za matengenezo ya gari,mafuta,vipuri n.k zinapigwa na magari ni mabovu siku zote.Utaratibu wa kisheria wa ukaguzi wa magonjwa ya gari na matengenezo haufuatwi tena na gari zinatengenezwa mitaani kwa gharama ndogo huku zimetolewa pesa nyingi.

Wito wangu ni kwa Rais Samia, asijiamini kwamba huku chini pako vizuri na kumbe ndiyo kunaufisadi mkubwa unaosababishwa na hawa wakurugenzi kwa kukaa halmashauri moja muda mrefu na kupelekea kutengeneza cheni za upigaji.

Kifupi ufisadi ni janga kubwa kwa sasa.
Pole T.O ila ungetaja jina la Halmashauri pengine hata Rais amgepara urahisi wa kumulika huko
 
Jamaa anasagiwa Sana kunguni
Na wafanyakazi wa serikali maana hawapi pumzi,Ni kazi kazi, ukizingua anakuzingua.

Ila panga pangua zote wanasali na kuomba ila jamaa anabakishwa TU.

Wati hawajui kupima performance ya mtu,

Unafikiri wanahamisha hamisha tu?

Jamaa mnyonge mnyongeni,
Ile halmashaur kaijenga Sana TU.
Watumishi Wana nidhamu haswa
 
Jamaa anasagiwa Sana kunguni
Na wafanyakazi wa serikali maana hawapi pumzi,Ni kazi kazi, ukizingua anakuzingua.

Ila panga pangua zote wanasali na kuomba ila jamaa anabakishwa TU.

Wati hawajui kupima performance ya mtu,

Unafikiri wanahamisha hamisha tu?

Jamaa mnyonge mnyongeni,
Ile halmashaur kaijenga Sana TU.
Watumishi Wana nidhamu haswa
Halmashauri yako ni ipi hiyo DED?
 
Nimekuwepo kwenye utumishi wa umma huu mwaka 4 sasa katika halmashauri moja huku mkoani Morogoro.Tangu nilipofika katika halmashauri hii 2020 nilimkuta mkurugenzi ambaye tayari alikuwepo hapa tangu 2018.

Kwa muda huu wa miaka 3 ambao nimekuwepo hapa,nimeona na kusikia dili nyingi za kifisadi zikifanyika kupitia mtandao wa maafsa waliotengenezwa na mkurugenzi huyo ili kupitisha dili chafu. Mbinu anayotumia kuwateka maafsa hao ni pamoja na kuwatengenezea mazingara magumu ya kiutendaji na kimaslahi, huku akiwajengea uoga kwa kuwakaripia na wengine kutowapa majukumu yao ya kiofisi kabisa.Haya mambo aliyafanya kwa muda wa kati ya mwaka 1 hadi 2 kwa mujbu wa watumishi niliowakuta hapo,na kwa wale waliojishusha na kukubali kupelekwapelekwa kwa matakwa yake,ndiyo baadae walikuja kuwa njia ya kupitisha dili zake chafu mpaka leo.

Mimi kwa ushuhuda wangu mwenyewe nimethibitisha kupitia Afsa usafirisha wa halmashauri ambaye yeye alibaki na msimamo wa kufuata kanuni na taratibu za kazi yake,akiewekwa pembeni na na nafasi yake kupewa Afisa mmoja wa elimu msingi,yeye mwenye taaluma yake amekuwa msoma magazeti ofisini bila ya jukumu lolote mwaka wa 2 huu sasa.

Kwa kupitia TO wa mchongo,pesa kuanzia za matengenezo ya gari,mafuta,vipuri n.k zinapigwa na magari ni mabovu siku zote.Utaratibu wa kisheria wa ukaguzi wa magonjwa ya gari na matengenezo haufuatwi tena na gari zinatengenezwa mitaani kwa gharama ndogo huku zimetolewa pesa nyingi.

Wito wangu ni kwa Rais Samia, asijiamini kwamba huku chini pako vizuri na kumbe ndiyo kunaufisadi mkubwa unaosababishwa na hawa wakurugenzi kwa kukaa halmashauri moja muda mrefu na kupelekea kutengeneza cheni za upigaji.

Kifupi ufisadi ni janga kubwa kwa sasa.
Taja halmashauri otherwise Majungu!Taja lifanyiwe kazi haraka.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka
Unamzungumzia Engineer Stephano B. Kaliwa,

mkurugenz halmashaur ya mlimba

Jamaa Ni mchapakazi sana na mzalendo Sana. Ukiwa na shida pale ofsin hata usiku au wikendi Hana noma anaweza kuja kukuhudumia kiroho Safi mpk unaridhika.

Mbali ya Malalamiko ya mtoa mada,

Ukiangalia vzur kitakwimu,
halmashaur Yake bado ni changa ila inakimbiza balaa kimapato mkoa mzima wa moro ikizidiwa TU moro mjini.

Jamaa Ni Mbunifu wa vyanzo vya mapato,Ni msikilizaji mzur wa wawekezaji wa mpunga na maliasili, japo Kuna MDA anazingua ktk ubunifu wa tozo zake ila yote Ni Katika kujenga.

Ni msikilizaji mzuri,mnaweza muita mezani mkayazungumza akalegeza au kufuta kabisa tozo husika.

Pia kielimu,
halmashaur yake japo Ni changa,
Ila inaongoza Sana kufaulisha level zote kuanzia std4,std7 na form iv kwa mkoa mzima wa moro ikizidiwa TU na manispaa ya Moro.

Jamaa kawapa malengo na mikataba waalimu ya kufaulisha, wanaofaulisha na utoa motisha MBALIMBALI. Ukifelisha utatakiwa kujieleza.

Halmashaur ya jamaa
shule kibao za kata tena ndani ndani huko hata miundombinu ni Changamoto Ila zishafuta division sifuri form 4.
Unabisha kaangalie matokeo ya necta.

Wafanyakazi wengi wa halmashaur ile hawampendi jamaa maana jamaa haendekezi uzembe, ukizingua unawajibishwa pale pale, anaziara kibao za kushtukiza, hajakukuta kazini utapaswa kujieleza. Jamaa anasikiliza sn wananchi na wadau wa maendeleo.

Jamaa hataki kuskia urasimu wa Aina yoyote pale halmashaur, ukienda unahudumiwa chap unaondoka zako.
Vile vibahasha vya kihuni huni na urasimu Kama zamani wafanyakaz wanaanza kuringa na kukuhudumia wanavojiskia pale halmashaur kwake hamna kabisa.

Jamaa akiwepo ofsn huwez kuona mtumish yoyote pale halmshauri anazubaa au kukuchelewesha foleni,mteja unahudumiwa vzur mpk unaridhika unaondoka zako.

Pia wafanyakaz wengi wanamsagia kunguni Ili ahamishwe ili aje mwngn, waweze kurelax, na Kupiga madili yao.

Pia watumish wengi hawapapendi mlimba kule sababu Ni pori na Chaka sana,kila anaeajiriwa kule anataka kuhama kuhamia halmashaur za mijini.

jamaa anabana hataki, umeajiriwa ufanye kazi nchini Tanzania, Kama upataki mlimba-mazingira ni mabaya.
unataka Nani Sasa akakae uko mlimba?

Falsafa ya jamaa Ni hataki kuhamisha wafanyakazi, otherwise una solid evidence.
Watumish wabaki vituo vyao vya kazi wachape kazi halmashaur bado changa ile ipate mapato ya kutosha iweze kujiendesha na kukua.

KITU AMBACHO KWA JICHO LA KIMAENDELEO,JAMAA YUKO SAHII SANA.
Hahahaaa!Tupa jiwe giza ukisikia yalaa!Jua tayari.Bila shaka wewe ni sehemu ya mwanamtandao wake,umizeni tu watumishi wengine kwa hongo mnazopewa ili kupitisha dili zenu.Ila hipo siku mtakuja hungama.
 
Back
Top Bottom