Mwenye uelewa na kosi ya kusomea lugha kichina aniptie umuhimu wake na hap Tanzania inatolewa chuo gan

Master kwanza lugha yako kiswahili then kichina mkuu "kosi" ndiyo nini?, anyways pale Udsm nishawahi kuona watu wanasoma hilo somo la kichina, but sijui kama ipo hiyo course au ni part tu, unaweza fika ukaulizia vizuri

Pia umuhimu wake ni kwamba utakua unaweza kuzungumza kichina fasaha, utaweza kuajiriwa as a Chinese language translator. Au unaweza kuteuliwa kuwa balozi Wa Tanzania nchini China huhuuu
 
Master kwanza lugha yako kiswahili then kichina mkuu "kosi" ndiyo nini?, anyways pale Udsm nishawahi kuona watu wanasoma hilo somo la kichina, but sijui kama ipo hiyo course au ni part tu, unaweza fika ukaulizia vizuri
Pia umuhimu wake ni kwamba utakua unaweza kuzungumza kichina fasaha, utaweza kuajiriwa as a Chinese language translator. Au unaweza kuteuliwa kuwa balozi Wa Tanzania nchini China huhuuu
Ata SAUT Mwanza pia wanatoa iyo course asee.!waga wanalipia elfu20 tu kwa mwaka
 
Karibu sana Confucius institute hasa UDSM ambapo utapata huduma ya elimu ya lugha ya kichina kwa ufasaha kabisa. Unaweza kusoma short course au ukaamua kusoma kozi ya muda mrefu (diploma kwa miaka miwili).

Kwa maelezo zaidi usipate taabu wewe tembelea link hii https://www.udsm.ac.tz/web/index.php/institutes/ci utapata mambo mengi toka taasisi ya Confucius.

Lakini pia taasisi hiyo inapatikana kwenye shule na vyuo vingi sana nchini kutegemea na ukaribu na mahala ambapo wewe upo.

Kwa dunia ya leo, zipo faida nyingi mno za kufahamu/kumudu hasa kama wewe ni ''mwananchi wa Dunia'' (Global citizen). Nakuunga mkono mkuu, kasome hiyo lugha.
 
Karibu sana Confucius institute hasa UDSM ambapo utapata huduma ya elimu ya lugha ya kichina kwa ufasaha kabisa. Unaweza kusoma short course au ukaamua kusoma kozi ya muda mrefu (diploma kwa miaka miwili).

Kwa maelezo zaidi usipate taabu wewe tembelea link hii https://www.udsm.ac.tz/web/index.php/institutes/ci utapata mambo mengi toka taasisi ya Confucius.

Lakini pia taasisi hiyo inapatikana kwenye shule na vyuo vingi sana nchini kutegemea na ukaribu na mahala ambapo wewe upo.

Kwa dunia ya leo, zipo faida nyingi mno za kufahamu/kumudu hasa kama wewe ni ''mwananchi wa Dunia'' (Global citizen). Nakuunga mkono mkuu, kasome hiyo lugha.
@Samwel A Asseno
 
你好
Nasoma hiyo program kwa ngazi ya Shahada (Degree) hapa UDOM for more information nitafute 0764531080
欢迎多多马大学孔子学院

Mkuu naona umeiva.....
Ngoja nimfananulie kidogo mtoa mada na kumjaza hasira na motisha zaidi ...

1. 你好
Hanzi;
你好
Pinyin;
Nǐ hǎo

English:
Hellow, Hi

Kiswahili:
Habari yako, uko poa, mzima ?, hujambo

2.欢迎多多马大学孔子学院
Hanzi;
欢迎多多马大学孔子学院
Pinyin;
Huān yíng duō duō mǎ dà xué kǒng zǐ xué yuàn

English:
Welcome to Confucius institute at the University of Dodoma.

Kiswahili:
Karibu katika taasisi ya Confucius chuo kikuu Dodoma.

Kazi kwake
 
Mkuu naona umeiva.....
Ngoja nimfananulie kidogo mtoa mada na kumjaza hasira na motisha zaidi ...

1. 你好
Hanzi;
你好
Pinyin;
Nǐ hǎo

English:
Hellow, Hi

Kiswahili:
Habari yako, uko poa, mzima ?, hujambo

2.欢迎多多马大学孔子学院
Hanzi;
欢迎多多马大学孔子学院
Pinyin;
Huān yíng duō duō mǎ dà xué kǒng zǐ xué yuàn

English:
Welcome to Confucius institute at the University of Dodoma.

Kiswahili:
Karibu katika taasisi ya Confucius chuo kikuu Dodoma.

Kazi kwake
Kuna mwanangu hapo!
 
Back
Top Bottom