SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,283
- 3,495
Kumbe femu ana ukimwi daaah Mungu turehemuEid al Adha mubarak wana JF
Jamani mwenye ubuyu kamili wa Menina na anayedaiwa kuwa alikuwa mumewe wamezaa mtoto ana kama miezi miwili mitatu, atupashe
Nasikia bi dada ni mgonjwa na hakumtaarifu mwenzie mume kaumwa hoi hoi hadi umauti kumkuta huku Menina akiwa location🥱
View attachment 1862297