Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,482
- 40,001
Habari zinazoingia mida hii zinasema kuwa aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini na mbia mkubwa wa Mgodi wa Kiwira Bw. Daniel Yona amejitokeza na hatimaye kuzungumzia madai kuwa yeye pamoja na Rais wake walijigawia mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira kwa njia za kinyemela.
Imeripotiwa katika mojawapo ya magazeti kuwa Bw. Yona anadai kuwa haki iko upande wake na hajatisikika.
Bw. Yona anasema kuwa aliposikia kuwa kuna mbunge toka Kilimanjaro ameleta hoja ya Kiwira alidhania ni Bw. Ndesamburo wa Chadema. Lakini alipogundua kuwa ni Kimaro wa Vunjo (CCM) Bw. Yona alibakia kusema "Haya bwana".
Yona bado anafikiri ni Tanzania ile ile waliyoichunaa wee na BWM...kama Lowasa alisalimu amri atakuwa Yona?
Habari zinazoingia mida hii zinasema kuwa aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini na mbia mkubwa wa Mgodi wa Kiwira Bw. Daniel Yona amejitokeza na hatimaye kuzungumzia madai kuwa yeye pamoja na Rais wake walijigawia mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira kwa njia za kinyemela.
Imeripotiwa katika mojawapo ya magazeti kuwa Bw. Yona anadai kuwa haki iko upande wake na hajatisikika.
Bw. Yona anasema kuwa aliposikia kuwa kuna mbunge toka Kilimanjaro ameleta hoja ya Kiwira alidhania ni Bw. Ndesamburo wa Chadema. Lakini alipogundua kuwa ni Kimaro wa Vunjo (CCM) Bw. Yona alibakia kusema "Haya bwana".
Tena amesema kwamba anayejisikia aende mahakamani na ajutii wala kusiskitika na yupo tayari kusimama wakapambane huko kwenye sheria!!!
Wote waliotuhumiwa na ufisadi wanapofuatwa na waandishi, wanakuwa na lugha kama za huyu fisadi. Muda utatuambia nini kinaendelea
basi hivi alivotishia ndo alimtishia hivi hivi na Pinda ndio maana akuaja kutuambia kuwa serikali haiwawezi mafisadi
Jamani mbona MKAPA haongei kitu??? waandishi wa habari mnamsuburi huyu jamaa mpaka awaite???? nendeni wenywe mkamuombe mahojiano nae, msumbueni mpaka atamke neno jama, na naahidi siku atakayo fungua mdomo ataongea madudu kama haya "ooo ni magazeti ya udaku tuu, am going to grant their wish am resigning".... "ni vijisenti tu na sitajiuzulu"