Styvo254
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 246
- 226
Naomba uendelee, tuna mda!!Engine inapowaka Governor hupeleka mafuta kwa kiwango sahihi ili engine ibakie katika speed fulani iliyokusudiwa
Ukikanyaga mafuta unaifungua governor ili iongeze mafuta kwenda kwenye combustion.
Naishia hapo coz ni somo refu sana