Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
achana nae, hukusema mtu asifanye engine diagnosis Bali ulichosema kabla hajakimbilia huko basi aangalia kwanza Gas cap! Huyo jamaa ni mpuuzi, yy alichotakiwa ni kuongezea kitu gani kifanyike na sio personal attacksNi vema uchangie na usaidie watu kuliko kuleta dharau.
Mimi hapa sipo kuhitaji hata shiling mia ya mtu, nipo kutoa kile kichopo akilini mwangu baada ya kuisomea hii taaluma. ,hivo kama kuna kitu changia sio kuanza KUVURUGA UZI
Haileti maana ,
Sent using Jamii Forums mobile app