Mwenye taarifa alipo Athumani Saidi Janguo

Mwenye taarifa alipo Athumani Saidi Janguo

Nami ngoja niulize, hivi yule mtangazaji wa redio Tanzania Dar es saalam Ezekiel Malongo saivi yuko wapi!!! Alikuwa anatitirika kwenye michezo mpara raha.
 
Nami ngoja niulize, hivi yule mtangazaji wa redio Tanzania Dar es saalam Ezekiel Malongo saivi yuko wapi!!! Alikuwa anatitirika kwenye michezo mpara raha.
Huyu sio kuwa alifariki?? Kama nakumbuka kuna taarifa ya kifo chake imewahi letwa humu.
 
Mwanzo mwanzo wa ukora unao isumbua Bandari ya Dsm mpaka leo!
KWELI KABISA . ...YEYE NDIYO ALIANZISHA BALAA YOTE . ..ASHINDWE NA ALEGEE MILELE NA BANDARI YETU IRUDI SALAMA MILELE YOTE . ..DG KAZA BUTI . ..
 
Alipokuwa mbunge wa Kisarawe aliwahi kunyimwa visa ya kwenda U.S.A. kwasababu mmoja wa watoto wake alikuwa amefungwa jela kule; sijui ni nani kati yao!! Wabeba mabox wanajua nini alifanya alipokuwa kule.
Walirudu na ma limousine wakawa wanakodisha . .duh balaa tupu!
 
Idd Janguoo, Athumani Janguoo, Haji Janguooo.....
Kwa sauti ya yule mwimbaji wa Twanga enzi zile.
Kumbe ndio alikuwa anawazungumzia watoto wa huyu mzee, daaaaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom