Mwenye taarifa alipo Athumani Saidi Janguo

Mwenye taarifa alipo Athumani Saidi Janguo

Na yeye pia ni jipu kuna madudu alifanya huko nyuma subiri tu wakati wowote ataungana na wenzake mahakamani.
 
Hao watoto wake walisumbua sana miaka ya 90 hasa Iddi

Alipokuwa mbunge wa Kisarawe aliwahi kunyimwa visa ya kwenda U.S.A. kwasababu mmoja wa watoto wake alikuwa amefungwa jela kule; sijui ni nani kati yao!! Wabeba mabox wanajua nini alifanya alipokuwa kule.
 
Mzee Janguo yu bukheri wa afya,yuko kwake mikocheni kwa Warioba kituo,nyumba yake inatizamana na msikiti wa Mahita karibu!
 
Back
Top Bottom