dumejike na huku kucheleweshwa kwa usajili kunatengeneza mianya ya rushwa...anyway wengine hatuna ndugu huko kwenye vitengo
Tunamtegemea Mungu
Tunategemea vyeti vyetu
Uzoefu na uwezo wetu wa kufanya kazi
uaminifu na uchapaji kazi.
Mungu tutangulie!!
Amina!