theeeegreeeet
Member
- Sep 27, 2016
- 14
- 1
- Thread starter
- #21
hapo sijui kuhusu hilo but unaweza ukaulizia chuoni watakupatia majibuLakin tuliopeleka direct chuon maombi yetu.
hapo sijui kuhusu hilo but unaweza ukaulizia chuoni watakupatia majibuLakin tuliopeleka direct chuon maombi yetu.
Kama umepeleka direct we jiandae tu kwenda chuoni utachaguliwa tu usijali jipangeLakin tuliopeleka direct chuon maombi yetu.
Watatoa majina au?Kama umepeleka direct we jiandae tu kwenda chuoni utachaguliwa tu usijali jipange
Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa next year ndio chuo kinatoa tunda la kwanza kwa upande wa degree...iv wwe unajua graduate msote tunaopitia mtaani baada ya kumaliza hpo chuo au unaongea tu,unazungumzia kujiajiri how mtu wa water resource anaweza kujiajiri?acha siasa wizara ya maji ina siasa nyingi hamna vitendoo.....maliza chuo ndo utajua nnacho maanisha
NACTE wameshatuma awamu ya I, bado awamu ya II, chuo kitayatangaza soon.Mkuu vipi kwan wameshAtoa majina ya waliochaguliwa degree
Kuna majina yapo ktk website. Na bado kuna mengine yatawekwa baada ya kutumwa na NACTE.Diploma
Best answer... I have got an idea...kumbe diploma mpo wengi ndio maana mnasota kitaa...why excluding Diplom?iv unajua kua huku mamlaka za maji watendaji wengi ni diploma?sasa ndo nnaozungumzia....wewe unazungumzia uhakika wa ajira kwa first batch graduate wa mwakakn wakati haujui hali itavokuwa pindi watakapomaliza?...lets be specific kuwa wizara yetu ina siasa na siyo realite kaka.
....najua kwanini umesema nisikuulize COZ huna uhakika na ulichosema....kama diploma wana sota mtaani leo ao wa bachelor itakuaje? Ikumbukwe kuwa diploma ndio wenye nafasi kubwa ya ajira kuliko digree(usiniulize kwanini) leo kama diploma wana sota nyie wa digree itakuaje. Bora tuseme tu kupata ajira ni game tu labda uwe umesoma education/afya.
kwani wameshatoa majina na kama unayo naomba nitumie yan weka no check..kwa wale mliochagua chuo cha maji degree au diploma unakaribishwa kuuliza swali lolote kuhusu hiki chuo kipo ubungo karibu na coet udsm
Wameshatoa...nenda kwenye website ya chuokwani wameshatoa majina na kama unayo naomba nitumie yan weka no check..
Poa big asante kwa kunipa moyo coz niliweka first priority baada ya kushauriwa kuachana na mechanical engineering ILA naomba kukanusha kuwa mimi sijasema ajira zipo za kuToshackia boi,kama kweli upo chuo maji au umekuwa admitted pale chuo maji upo katika chaguo stahik,hoja yangu mm ni kwamba hakuna mfumo rasmi wa ajira kwa wizara ya maji......sasa uliposema ajira zipo,ukanishtua kdgo.
Kwanini walkushauri uachane na Mechanical engineering..??Poa big asante kwa kunipa moyo coz niliweka first priority baada ya kushauriwa kuachana na mechanical engineering ILA naomba kukanusha kuwa mimi sijasema ajira zipo za kuTosha
Wengi hawatakuelewa mkuu maana bado wapo shuleni ila wakigraduate tu ndo watajua vzuriv wwe unajua graduate msote tunaopitia mtaani baada ya kumaliza hpo chuo au unaongea tu,unazungumzia kujiajiri how mtu wa water resource anaweza kujiajiri?acha siasa wizara ya maji ina siasa nyingi hamna vitendoo.....maliza chuo ndo utajua nnacho maanisha