MTAU JR
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 216
- 292
Ukipata jibu unitag mkuu ..Hebu mzee tupe mbinu, unachanjiaje huo mpapai? Pengine inaweza saidia
Ukipata jibu unitag mkuu ..Hebu mzee tupe mbinu, unachanjiaje huo mpapai? Pengine inaweza saidia
Ukiwa umeolewa hutakiwi kusema njoo?Kwani hujaolewa?
Hakuna mwenye dawa humu ni ujanja ujanja tu.Thanks mkuu ndo lengo hasa la uzi huu, lakin chonde mkifatwa pm msiwatapeli wenzetu... Ziwe ni dawa kweli na si longolongo
Hapa matapeli wamejaa, unakuta mtu ana account zaidi ya sita.Utatapeli wangapi ndugu yangu! Utamtapeli mmoja atawaambia wengine juu ya huo utapeli halafu nini kitafuata? Kwa hiyo ni mtu na mtu ingawa pia matapeli ni wengi sana.
Swadakta!!! Umegusa mfupa sahihi..Shida siyo kwamba watu hatutaki kutoa misaada kwa wenye hali kama hizo. ishu ni kwamba nyinyi mpo na utayari wa kiasi gani..
watu mpo katikati ya mashaka,,hujui humuamini nani na nani usimuamini. hapa tukisema dawa ipo utaipata kwa utaratibu wa kuchangia kiasi kadhaa au labda uambiwe njoo dm basi utahisi unaenda kutapeliwa. na watu wataanza kuku pump hapa hapa.
wengine mnataka dawa za kunywa leo na kupona kesho jioni. mnachekesha sana !
mtu una tatizo la muda mrefu. wengine wameathirika na PUNYETO na video za ngono kwa miaka kibao halafu unataka upewe dawa ya maajabu ya kusolve hilo tatizo kwa masaa machache...mtaendelea kupigwa.
mtu ukiambiwa lipia kiasi fulani utengenezewe formular utakayoitumia kwa miezi miwili mfululizo unaona ni utapeli..endeleeni kutafuta vya bure kama vipo.
wengine mnapewa formular kwa maelekezo ya kuacha kabisa PUNYETO na video za ngono lakini hamuachi mnataka muendelee kutumia hizo formula huku mkiendeleza hizo ishu za PUNYETO..hautapona hata iweje !
kama unauhitaji muombe Mungu akuongoze sehemu sahihi ya kupata suluhu ya hicho kinachokusumbua.
Dawa inaweza kupatikana ila kama ambavyo waliochangia mjadala huu. Wengi kati yenyu. Mnakuja na kejeli nyingi na mengine mnafwata ushauri wa watoa maneno bila sulihisho. Tiba inaweza kupatikana kutatua tatizo lako hilo. Lakini Ni lazma ujipange vizuri kiankili na kifedha. Kwakua Tiba ni endelevu zaidi ya siku 120 Utaondekewa na hilo tatizo kwa njia za kiasili na bila madhara. Kwa masharti hilo tatizo unaolilamikia umri wako usizidi miaka zaidi 47. Njoo ntakusaidia.Kuna nyuzi nyingi sana zimeanzishwa humu watu wakiomba msaada wa kusaidiwa kuondokana na tatizo la uume mdogo. Lakini hakuna hata msaada zaidi ya kukejeliwa na kuchekwa...
Kuna walio na tatizo hilo toka wadogo na wengine kujikuta uume unasinyaa ukubwani... Watu wanasema apime ukiwa umesimama, nami nasema ukikiangalia kidole chako cha mwisho cha mkononi ndo urefu halisi wa hivyo vibamia vikiwa vimesimama imara
Sasa wenzetu wanavyoomba msaada tuwe tunawaelewa na kuwasaidia upatikanaji wa hizo dawa na si kumcheka au kukejeli
Basi wale wanaoweza kusaidia tiririkeni hapa watumie nini au kuna dawa gan inafaa zaidi?
Natumai tutawasaidia wenzetu
Ndiyo sababu?Tatizo tunatahiri watoto wakiwa wadogo sana kwa kisingizio cha UTI wakati hawapo tayari kufanya mapenzi.
😂😂😂Sema tu unataka dawa acha story mob.
Mawasiliano yako mkuuDawa inaweza kupatikana ila kama ambavyo waliochangia mjadala huu. Wengi kati yenyu. Mnakuja na kejeli nyingi na mengine mnafwata ushauri wa watoa maneno bila sulihisho. Tiba inaweza kupatikana kutatua tatizo lako hilo. Lakini Ni lazma ujipange vizuri kiankili na kifedha. Kwakua Tiba ni endelevu zaidi ya siku 120 Utaondekewa na hilo tatizo kwa njia za kiasili na bila madhara. Kwa masharti hilo tatizo unaolilamikia umri wako usizidi miaka zaidi 47. Njoo ntakusaidia.
Wabillah taufiq....
Hakuna mboga tamu kama bamia likipata mpishi mzuri.
Wapi haoHapa naona kila dalili za mtu kupigwa. uzi umeshavamiwa na "wale watu"