Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 754
- 1,442
- Thread starter
- #21
mkuu elvis richard si uwape watu hiyo formula wakatengeneze wenyewe? Utakuwa umesaidia sana na waungwana watakutafuta kukupa shukrani kuliko kukaa nayo tu... Kumbuka walio wengi wametapeliwa sana na wengine walikuja na maneno mazuri zaid ya haya yako... Kwahiyo huwezi kumfanya huyo mtu akuamini kizembe tu... Uking'atwa na nyoka hutahitaji hata unyasi ukuguse, upepo tu utakutoa nduki