Iyo site naijua mkuu
Naomba unisaidie nifanyaje niweze kudwnlod
Utorrent ipo na huwa natumia bundle ya vodacom ile ya wajanja nite ila nkitaka kudwnlod inachukua muda sana mpka nakata tamaa kabxa yanj torrents zinansumbua
Nahitaji sana hizo softwares
Ni za educational purpose
Habari zenu wana jf
Mwenye software hizi adobe photoshop, indesign na illustrator zote zikiwa cs7 au adobe office cs7
Ziwe burnt au original disks ani pm tufanye biashara