scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 460
- 360
habari zenu wana jamvi natumaini wazima wote natafuta mtu wa kupanga nae geto maeneo ya malimbe mwanza karibu na saut kwani ndo naenda anza mwaka wa kwanza jinsia yangu ni (me) lakini nataka kukaa na mwenye sifa zifuatazo: 1 awe anachukua corse ya BAED
2.jinsia kama yangu (mmboy)
3.asiwe mrevi wa aina yoyote.
4.awe tayari kwa kushirikiana nami (asiwe toz)
5.awe anajua nini kimemuleta chuo
6,awe na umri usiozidi 21.
7.awe mkarimu na mwenye busara kama msomi
8.awe mwenye kumtegemea mungu katika mambo yake.
9. asiwe mjuaji sana aani asijione yeye anajua kuliko
10. asiwe mwenye kushoboka sana kwa watoto wa kike kivile
NOTE mimi mwenyewe nina sifa hizo
kwa aliyetayari antafute kwa contact 0758323543.,0674743890. please hata kama una rafiki au ndugu ana sifa hizo anitafute pia hata kama sio mwenyeji wa mwanza naweza msaidia kwa hilo. nawasilisha.
2.jinsia kama yangu (mmboy)
3.asiwe mrevi wa aina yoyote.
4.awe tayari kwa kushirikiana nami (asiwe toz)
5.awe anajua nini kimemuleta chuo
6,awe na umri usiozidi 21.
7.awe mkarimu na mwenye busara kama msomi
8.awe mwenye kumtegemea mungu katika mambo yake.
9. asiwe mjuaji sana aani asijione yeye anajua kuliko
10. asiwe mwenye kushoboka sana kwa watoto wa kike kivile
NOTE mimi mwenyewe nina sifa hizo
kwa aliyetayari antafute kwa contact 0758323543.,0674743890. please hata kama una rafiki au ndugu ana sifa hizo anitafute pia hata kama sio mwenyeji wa mwanza naweza msaidia kwa hilo. nawasilisha.