Yanga au simba?Mkuu mimi simo.
Sijaribiwiha ha ha kwani LIST mpya imetajwa?
ungeanza na neno kaka yangu ndugu yangu rafiki yangu .... naomba nikukute centralMletq post naomba nikukute central.
wewe ni mchochezi?Lakini kunatofauti kubwa bado: Angalia mavazi yao. Unajua ukiwa nadhifu hata heshima inakuja yenyewe lakini ukivaa kihuni kihuni kwa makosa watakuhesabu ni muhuni.
Sykolojia inatambua fact hii Kwamba "Mavazi huongea Waziwazi".