Mkuu naomba unisaidie na mimi kuupata. Nifanyeje kuupata?@Mshana JrNiwie radhi kwa kutorudi kutoa Shukrani nimetoka kuusikiliza sasa hivi huu wimbo asante na tena
Njoo pmMkuu naomba unisaidie na mimi kuupata. Nifanyeje kuupata?@Mshana Jr
moyo safi sanifu ulojaa mapenzi sawa sawa na yakooSi ndio ule usemao nipe nafasi niwe mpangaji wa kudumu ndani ya moyo wako......!!? Ukiupata nitonye
Na ule NIPE MUDA wa Biz manmoyo safi sanifu ulojaa mapenzi sawa sawa na yakoo
tuishi sote milelee kama watoto wazuri wapendezao
aisee kuna watu wanajua muziki ni kama ule BOB RUDALA nimekuchagua wewe unavyonikonga moyo
jr hillo song vp umelipataaaNa ule NIPE MUDA wa Biz man
Nilikuwa nalo memory ika corrupt nalitafuta kinyamajr hillo song vp umelipataaa
Mkuu wengine hatuwezi Ku upload hapa, ila ntakutumia kulee kwenye Ka group ketu...Kwani mkituma hizo nyimbo hapa hapa bila kuitana pm kuna tatizo?
Nilikuwa nalo memory ika corrupt nalitafuta kinyama
Mkuu, naweza kukutumia no. yangu unitumie kwa whatsapp??Nimeshindwa ku upload hapa, ,kwenye JF app hakuna option ya kuatach files.
Huo huo Mshana, tena video yake na audio . Duh jamaa zahiri Ally zoro anajua sanaSi ndio ule usemao nipe nafasi niwe mpangaji wa kudumu ndani ya moyo wako......!!? Ukiupata nitonye