mbotoki
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 268
- 116
Habari waungwana.
Kwa wale mnaoikumbuka Diamond Sound, ambapo makao yao makuu yalikuwa Mwenge Pale Silent Inn Club.
Tafadhali kwa Mwenye Nyimbo zao naomba tupia humu,
Nyimbo zao ninazokumbuka ni kama:-
Kimalumalu.
Chance.
Neema.
Sebene.
Na nyinginezo.
Tafadhalini wakubwa, mwenye ngoma naomba tupia humu tujikumbushe.
Kwa wale mnaoikumbuka Diamond Sound, ambapo makao yao makuu yalikuwa Mwenge Pale Silent Inn Club.
Tafadhali kwa Mwenye Nyimbo zao naomba tupia humu,
Nyimbo zao ninazokumbuka ni kama:-
Kimalumalu.
Chance.
Neema.
Sebene.
Na nyinginezo.
Tafadhalini wakubwa, mwenye ngoma naomba tupia humu tujikumbushe.