Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,776
- 11,884
Joanah hizi nchi ni third world, population control programe zinafeli sabb ya tamaduni za watu wa huku.. Moja kati ya vitu vinavyopelekea watu kuzaana sana ni ndoa za serial , na uhitaji wa nguvu kazi hasa mashambaniSasa si watumie birth control....huna uwezo halafu unapata watoto 9!