MpigfilimbiwaHamelin
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 652
- 167
Wadau,
Nimesikia leo katika vyombo vya habari kuwa Rais Jakaya Kikwete atawapa vyeti vya uraia wakimbizi wa zamani wa burundi. Mimi ni mdau kwa vile nimekulia mkoani katavi. Kuwapa uraia ni sawa hasa kujali muda waliokaa ktk makambi hayo, lakini nasikia atatangaza pia kuwa watu hao waendelee kukaa katika kambi hizo wakiwa raia kamili. Hapa ndio pagumu, hawa watu wameishi zaidi ya miongo 4 lakini hawakujichanganya na watanzania. waliendelea kuoana wao kwa wao tu na hata kuenda kuoa burundi. Hivo suala la kuwaacha kuishi peke yao bila kuwahamisha waishi na watanzania ni kutengeneza burundi ndogo humu nchi.
Kumekuwa na uingizaji sil;aha sana katika kambi hizi. Is a serious matter, nadhani jk hajashauriwa vizuri. Najua jf ina wadau wengi, naomba anayeweza kuwasiliana na jk au washauri wake amweleze haraka - kabla ya mchana huu wa leo - kuwa angalau aahirishe kutamka makazi ya raia hao wapya yatakuwaje.
Uraia sawa ila angalau kupatikane njia nzuri kuwachanganyisha na watanzania wengine. La sivyo vizazi vijavyo vitapata shida kwa kuwa na vinchi ndani ya Tanzania hasa ukizingatia kambi hizi zipo maporini na zina eneo kubwa, wataitwa watu toka burundi na kuweka makambi ya uasi either wa burundi au Watanzania katika mapori hayo. Wapo viongozi walioshuhudia dalili hizi za uasi kasim majaliwa akiwa dc wa urambo alipambana sana na hili. Makosa yasirudiwe.
Hima jamani JK ajulishwe now.
Nimesikia leo katika vyombo vya habari kuwa Rais Jakaya Kikwete atawapa vyeti vya uraia wakimbizi wa zamani wa burundi. Mimi ni mdau kwa vile nimekulia mkoani katavi. Kuwapa uraia ni sawa hasa kujali muda waliokaa ktk makambi hayo, lakini nasikia atatangaza pia kuwa watu hao waendelee kukaa katika kambi hizo wakiwa raia kamili. Hapa ndio pagumu, hawa watu wameishi zaidi ya miongo 4 lakini hawakujichanganya na watanzania. waliendelea kuoana wao kwa wao tu na hata kuenda kuoa burundi. Hivo suala la kuwaacha kuishi peke yao bila kuwahamisha waishi na watanzania ni kutengeneza burundi ndogo humu nchi.
Kumekuwa na uingizaji sil;aha sana katika kambi hizi. Is a serious matter, nadhani jk hajashauriwa vizuri. Najua jf ina wadau wengi, naomba anayeweza kuwasiliana na jk au washauri wake amweleze haraka - kabla ya mchana huu wa leo - kuwa angalau aahirishe kutamka makazi ya raia hao wapya yatakuwaje.
Uraia sawa ila angalau kupatikane njia nzuri kuwachanganyisha na watanzania wengine. La sivyo vizazi vijavyo vitapata shida kwa kuwa na vinchi ndani ya Tanzania hasa ukizingatia kambi hizi zipo maporini na zina eneo kubwa, wataitwa watu toka burundi na kuweka makambi ya uasi either wa burundi au Watanzania katika mapori hayo. Wapo viongozi walioshuhudia dalili hizi za uasi kasim majaliwa akiwa dc wa urambo alipambana sana na hili. Makosa yasirudiwe.
Hima jamani JK ajulishwe now.