Mwenye majina ya drug dealer awamu ya tatu ya Makonda aidondoshe humu

Amigo Sr

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
351
264
Kila mtanzania mwenye kuitakia neema nchi hii atakuwa mstali wa mbele kupiga vita ya matumizi ya madawa ya kulevya.

Pamoja changamoto alizokutana nazo RC katika awamu mbili za kuyataja majina ya watu wanaojihusisha na drugs likiwemo utaratibu wake wa kuwaita suspects central police kabla hajapata ushahidi jadidi kwamba kweli hao watu tajwa wanahusika na biashara hiyo haramu bado haituzuii sisi watanzania kutaka kuyajua majina hayo kwani kuna watu wengi maarufu wamekuwa wakitajwa kama ndio mapapa na manyangumi ya drugs Tanzania lakini kwa bahati mbaya sana awamu zote mbili za awali za Makonda wananchi bado wana lalamika kuwa mapapa bado waliachwa.

Sasa basi ili tukate mzizi wa fitina na kujiridhisha pasipo kutia shaka kwamba awamu hii ya huu utawala kweli kabisa wameamua kupambana na biashara hii haramu bila kuangalia cheo, utajiri au umaarufu wa Mtu, ni vizuri wadau mliotupia jicho hiyo "orodha ya 97" muilete humu tujue kama kweli wale mapapa wa madawa wamekuwa included kwenye hiii "the baddest 97" karibuni wanajamvi, matusi hayaruhusiwi. Tunajenga nchi salama kwa ajili yetu Na vizazi vyetu vijavyo.
 
Kuna majina nimeona kwa jamaa yametoka sijajua watu nao wamefanya yao au ila nimeona kuna mawaziri,waziri mstaafu,watoto wa vigogo mmmmh hatari nchi inakwenda kudondoka kama kweli yale majina
 
Turmeisha imba ka wimbo ketu moto unawaka Leo umeanza kuwaka Kwenye kale kajumba tulieni Mje kuzima tu
 
Mzee "jiji langu mti wang"kashamaliza movie yake tayar kama kawaida yake huyu bwana
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
 
Eee mtuzi naye yumo.

Anadai eti kanunua apartment kwa kutegemea blogu na akaunti ya insta.

Kila siku anakula bata,Mara ana redio na TV,Mara ana hiki,huyu mtu aangaliwe sana

Hawa ndio alikuwa anawasema mbunge mlinga
 
Nimeona jina lako mtoa mada.
Lipo na kigogo mmoja na mtoto wa kigoogo kigogo gogo. Ambae siku hizi kapunguza mbwembwe Kama vile hayupo
 
Mkitajiwa shida na wasipotaja shida, sasa sijui mnataka lipi? Watanzania.
 
Isije kuwa na majina ya Wahindi kama ile List ya Zitto walio ficha fedha Uswiss. Full Wahindi na Waarabu
 
Kila mtanzania mwenye kuitakia neema nchi hii atakuwa mstali wa mbele kupiga vita ya matumizi ya madawa ya kulevya. Pamoja changamoto alizokutana nazo RC katika awamu mbili za kuyataja majina ya watu wanaojihusisha na drugs likiwemo utaratibu wake wa kuwaita suspects central police kabla hajapata ushahidi jadidi kwamba kweli hao watu tajwa wanahusika na biashara hiyo haramu bado haituzuii sisi watanzania kutaka kuyajua majina hayo kwani kuna watu wengi maarufu wamekuwa wakitajwa kama ndio mapapa na manyangumi ya drugs Tanzania lakini kwa bahati mbaya sana awamu zote mbili za awali za Makonda wananchi bado wana lalamika kuwa mapapa bado waliachwa. Sasa basi ili tukate mzizi wa fitina na kujiridhisha pasipo kutia shaka kwamba awamu hii ya huu utawala kweli kabisa wameamua kupambana na biashara hii haramu bila kuangalia cheo, utajiri au umaarufu wa Mtu, ni vizuri wadau mliotupia jicho hiyo "orodha ya 97" muilete humu tujue kama kweli wale mapapa wa madawa wamekuwa included kwenye hiii "the baddest 97" karibuni wanajamvi, matusi hayaruhusiwi. Tunajenga nchi salama kwa ajili yetu Na vizazi vyetu vijavyo.
Natumaini kuwa wewe si mmoja wa waliokuwa wanaipinga style ya Makonda...
Kama ni mmoja wao jitafakari sana.
 
Back
Top Bottom