Mwenye kuuza lcd ya Blackberry 9780

Mwenye kuuza lcd ya Blackberry 9780

Mpya (unused) ni TZS 100,000/= na used ni 90,000/= . Utanicheki ukiwa umemake decision.
Mwenye lcd ya Blackberry 9780 aniuzie



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nipunguzie bei,fanya 50elf kwa used
 
Basi kama vp nikuuzie hii blackberry utanipa sh ngapi?
 
Leta hyo 180 nkupe 9700 ina kidoa kwenye screen lakin kidogo sana.
 
Nipunguzie bei,fanya 50elf kwa used

nenda k/koo mtaa wa aggrey maduka ya simu utapata mpyaa kwa hiyo bei.. Maduka ya upandewa kulia ukiingilia kutokea msimbazi...ingilia njia ya maduka ambayo juu kuna bango kubwa la g'tide
 
Hiyo offer nilokupa huwez kupata sehemu yoyote. Weka picha unaweza kuta tunaongea hapa kumbe simu yenyewe imechubukachubuka kila sehemu.
Fanya 100 tumalize biashara halafu c kwamba screen yote haioneshi ni sehemu ya chini ndipo kwenye doa



Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Nitafute kwa 0764777799 nipo dar now tufanye biashara
 
Nitafute kwa 0764777799 nipo dar now tufanye biashara

Ebwana msihangaike sana mi nipo dar nauza blackberry 9780 kwa 140,cheki thread yangu moja imeandikwa nauza samsung galaxy tab na BB nimeweka picha na za BB pia call 0687108905
 
Kuna blackberry Curve 9320,smartphone nimeinunua mwezi uliopita naiuza kwa 100,000,nataka niongezee ninunue pc.Njoo pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom