Mwenye kuujua mziwaziwa

Mwenye kuujua mziwaziwa

Joined
Aug 9, 2021
Posts
13
Reaction score
14
Nimerudi tena

Naombeni kujua kuhusu mti huu mziwaziwa unasaidia kweli kuconceive? I wish nipate ambaye alishawahi kuutumia .

IMG_4934.jpg




Na kwa Dar naupata wapi?
 
Unasaidia kama unasumbuliwa na Chango na fangasi,

Upo sehemu nyingi zenye unyevu unyevu, kwa walima bustan au pembeni ya ukuta wa nyumba utaukuta.

Juzi tu nimeufyeka hapa kwangu.
 
Nimerudi tena

Naombeni kujua kuhusu mti huu mziwaziwa unasaidia kweli kuconceive? I wish nipate ambaye alishawahi kuutumia .

View attachment 1887217



Na kwa Dar naupata wapi?
Mti huu au mmea huo Unaitwa MDATU. Unaota maeneo mengi tu hapa Tz. Tafuta Kwenye shamba au bustani hasa kipindi cha mvua/masika. Huku kwetu Manyara ni mwingi sana. Ukitaka nipe mawasiliano nikutumie kwenye gari BURE BILA MALIPO YOYOTE.
 
Back
Top Bottom