Mwenye kujua tatizo hili kwenye TV anisaidie

Siyo card ingekua inachukua muda kuwaka. Ila ikiwaka inakua clear kila kitu? Nafikiri ni mkanda wa taa za LED labda zimeungua
Inawaka kama kawaida na kila kitu kinaonekana kama kawaida tatizo ni huo weusi kwa pembeni
 
Hizo taa za LED zitakuwa zinachezea bei gani mkuu kama unafahamu
Hizo taa zinauzwa kwa mkanda. Mkanda mmoja ni 20K.

Ila nenda kwa fundi akijua kama ni taa au card atakuambia
 
Hizo taa zinauzwa kwa mkanda. Mkanda mmoja ni 20K.

Ila nenda kwa fundi akijua kama ni taa au card atakuambia
Nakushauri usiweke TV yako karibu spika zenye sumaku kubwa jitahidi weka TV mbali na spika
 
Nakushauri usiweke TV yako karibu spika zenye sumaku kubwa jitahidi weka TV mbali na spika
speaker zina leta shida hiyo kwa zile Tv zenye visogo( yaan zinazotumia technologia ya cathode ray kutengeneza picha) lakin kwa tv za kisasa hizi za flat sumaku za speaker hazina effect mkuu,

jarib kuchek other alternatives.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…