mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Wakuu nimesikia atakuwa kyela ila sijajua ni lini na ratiba yake itakuwaje.. Mwenye kujua tafadhari nisimkose
Ni muhubiri nduguNi nani huyo mkuu?
Wengine tunawaza zile ID za Magu za wamachinga so tunakua tunawaza labda aliyetajwa amekuja kugawa hizo ID mkuu.
Longoni ni Mhubiri wa injili mwenye asili ya Israel, alikuwa jambazi sugu na jitu jeuri sana kabla hajakata shauri na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Ni mwalimu wa neno la Mungu kwasasa na anamafundisho ya kiwango cha juuNi nani huyo mkuu?
Wengine tunawaza zile ID za Magu za wamachinga so tunakua tunawaza labda aliyetajwa amekuja kugawa hizo ID mkuu.
nawe kuna watu wanakujua wewe hivyo hivyoTapeli huyo
Longoni ni Mhubiri wa injili mwenye asili ya Israel, alikuwa jambazi sugu na jitu jeuri sana kabla hajakata shauri na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Ni mwalimu wa neno la Mungu kwasasa na anamafundisho ya kiwango cha juu
Kwa hiyo sahivi kaamua kutafuta hela kwa kutumia plan B??Longoni ni Mhubiri wa injili mwenye asili ya Israel, alikuwa jambazi sugu na jitu jeuri sana kabla hajakata shauri na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Ni mwalimu wa neno la Mungu kwasasa na anamafundisho ya kiwango cha juu
Ni muhubiri ndugu
Asante mkuu sikua namfahamu kabisaa.Longoni ni Mhubiri wa injili mwenye asili ya Israel, alikuwa jambazi sugu na jitu jeuri sana kabla hajakata shauri na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Ni mwalimu wa neno la Mungu kwasasa na anamafundisho ya kiwango cha juu
watu hubadilika, kwa misingi ya imani ya kikristo yuko makini, hana tabia za kutaka sadaka kama wafanyavyo mitume...kwa kifupi sijaona udhaifu wake katika eneo la imani japo siwezi kuwa mtetezi wakeUkiona hivi ujue tapeli hilo
is that apromo? kumuulizia mtu asiyejulikana ili watu wamjue kwa nn usingempigia memba mwenzako au watumishi wake kujua ratiba zake acha hizo weeeeeeweeee sio kila muisraeli ni ndugu yake yesuWakuu nimesikia atakuwa kyela ila sijajua ni lini na ratiba yake itakuwaje.. Mwenye kujua tafadhari nisimkose
MmmmmhLongoni ni Mhubiri wa injili mwenye asili ya Israel, alikuwa jambazi sugu na jitu jeuri sana kabla hajakata shauri na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Ni mwalimu wa neno la Mungu kwasasa na anamafundisho ya kiwango cha juu
Waisrael ni wahuni_huyo atakuwa na lake jambo analijasusi wala sio mhubiri kama vilaza wengi wanavyo mchukuliaLongoni ni Mhubiri wa injili mwenye asili ya Israel, alikuwa jambazi sugu na jitu jeuri sana kabla hajakata shauri na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Ni mwalimu wa neno la Mungu kwasasa na anamafundisho ya kiwango cha juu
Kazi rahisi za kukupa kipato KISICHO na shaka shaka NiUkiona hivi ujue tapeli hilo
Samahani nimekosa kabisa mtu wa kumuuliza na jf ndo my family sory kama nimekukwazais
is that apromo? kumuulizia mtu asiyejulikana ili watu wamjue kwa nn usingempigia memba mwenzako au watumishi wake kujua ratiba zake acha hizo weeeeeeweeee sio kila muisraeli ni ndugu yake yesu
Yeah sure...sema walokole akili zao wameziweka rehani hawana tabia ya kufikiri kwa tafakuriTapeli huyo
..ahahahaaaa ...walokole hawatakuamini ila ndio ukweliUkiona hivi ujue tapeli hilo
...anabiga hela za walokole na makapuku wa kiafrica bila hurumaKwa hiyo sahivi kaamua kutafuta hela kwa kutumia plan B??
...actually wengi tunakwazika pale tunapoona watu wanapigwa hela kizembe na hawa mnaowaita watumishi wa Mungu,Samahani nimekosa kabisa mtu wa kumuuliza na jf ndo my family sory kama nimekukwaza
watu hubadilika, kwa misingi ya imani ya kikristo yuko makini, hana tabia za kutaka sadaka kama wafanyavyo mitume...kwa kifupi sijaona udhaifu wake katika eneo la imani japo siwezi kuwa mtetezi wake