IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,384
..mimi naamini Mungu yupo ila huu ujinga wa watumishi /agent wa Mungu Mara sijui shetani siuamini kabisaMkuu unaamini kuna wanadamu eti ni ma-agents wa Mungu?
Eti aliwatuma waje kukusaidia?
I dont believe that stupidity mkuu.....Afterall siamini Mungu mwenyewe kama yupo wala Shetani...All of them are all human fabrications!
...na Mungu ninayemuamini ni sifa sio jina...I,e ni tofauti na Yule kwenye biblia na quran