Kitena
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 339
- 255
Wakuu habari za leo ?
Naomba mwenye kujua faida au hasara za maxmalipo anijuze,
Nahitaji kuanzisha biashara ya M- Pesa, Airtel Money, tigo pesa na luku
Je nikitumia maxmalipo naweza pata faida?
Na ili use wakala wa kuuza unit za umeme(luku) unatakiwa ufanyeje na uwe na kiasi gani ili uweze kuanzisha biashara hizo hapo juu?
Mwenye uelewa naomba anisaidie
Naomba mwenye kujua faida au hasara za maxmalipo anijuze,
Nahitaji kuanzisha biashara ya M- Pesa, Airtel Money, tigo pesa na luku
Je nikitumia maxmalipo naweza pata faida?
Na ili use wakala wa kuuza unit za umeme(luku) unatakiwa ufanyeje na uwe na kiasi gani ili uweze kuanzisha biashara hizo hapo juu?
Mwenye uelewa naomba anisaidie