Habarini ndugu zangu, naomba kujua hii kampuni TESE & TECHNO ENGINEER japo kwa undani ili niweze kwenda maana wamenipigia simu niende kwenye interview na mimi nipo KATAVI KWA SASA, naombeni msaada wenu wakuu niijue iyo kampuni ilipo..
Dunia imebadilika, nakutahadharisha kuwa makini zaidi ya unavyo fikiria, wimbi la utapeli limekuwa kubwa mno usije kurudi Sitalike unalia lia tena kwa kuchangiwa nauli na wasamaria wema.[emoji2957]
Dunia imebadilika, nakutahadharisha kuwa makini zaidi ya unavyo fikiria, wimbi la utapeli limekuwa kubwa mno usije kurudi Sitalike unalia lia tena kwa kuchangiwa nauli na wasamaria wema.[emoji2957]
Habarini ndugu zangu, naomba kujua hii kampuni TESE & TECHNO ENGINEER japo kwa undani ili niweze kwenda maana wamenipigia simu niende kwenye interview na mimi nipo KATAVI KWA SASA, naombeni msaada wenu wakuu niijue iyo kampuni ilipo..