Mwenye kujua haki za wafanyakazi anisaidie

ally kitupe

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
259
216
Mm ni mfanyakazi katika kampuni binafsi nina mwaka sasa miezi minne iliyopita nilipata ugonjwa wa kifua kiku u kampuni yangu ilinipa likizo ya kwanza nilipomaliza likizo Ali yangu ilikuwa bado wakanipa likizo ya pili nimemaliza juzi lakini afya yangu bado ivyo wananiambia niandike barua ya kuacha kazi he ni haki kuandika au wao ndio wanatakiwa kuniterminate
Naombeni msaada weni
Msinipite jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka unaumwa kweli au umepata chimbo jingine. Kwa uelewa wangu wakivunja wao mkataba watapaswa kukulipa na ukivunja wew utawalipa.

Tusubiri wengine waje mkuu...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm ni mfanyakazi katika kampuni binafsi nina mwaka sasa miezi minne iliyopita nilipata ugonjwa wa kifua kiku u kampuni yangu ilinipa likizo ya kwanza nilipomaliza likizo Ali yangu ilikuwa bado wakanipa likizo ya pili nimemaliza juzi lakini afya yangu bado ivyo wananiambia niandike barua ya kuacha kazi he ni haki kuandika au wao ndio wanatakiwa kuniterminate
Naombeni msaada weni
Msinipite jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ya kazi inakupa mfanyakazi likizo ya ugonjwa ya siku 126,
Siku 63 za kwanza utalipwa mshahara wako kamili, na siku 63 za mwisho unalipwa nusu mshahara wako

Baada ya kipind hicho kama utashindwa kurud kazin mwajir i anaweza kukuondoa kazini kwa sababu hiyo ya Ugonjwa na kukulipa malipo yote ya usitishaji wa ajira

Lakin anatakiwa kukuondoa yeye na sio wew uombe kuacha kazi, ukiomba wew unatengenezewa mazingira ya kukosa haki zako

Mwajiri kapewa haki ya kukuondoa kazin kwa sababu ya ugonjwa baada ya kuwa amezingatia yafuatayo

i. alijaribu kukubadilishia muda wa kazi lakin bado ufanis wako wa kazi sio mzuri kwa mfano ulikua unaingia kazini usiku kwa hiyo kutokana na kuugua utakua unaingia mchana anaweza kukuondoa

ii. Amejaribu kukupa kazi au majukumu mepes lakin bado afya yako hairuhusu

iii. Pia alijaribu kukupa kazi mbadala

Wataalam wataongeza zaid
 
Sheria ya kazi inakupa mfanyakazi likizo ya ugonjwa ya siku 126,
Siku 63 za kwanza utalipwa mshahara wako kamili, na siku 63 za mwisho unalipwa nusu mshahara wako

Baada ya kipind hicho kama utashindwa kurud kazin mwajir i anaweza kukuondoa kazini kwa sababu hiyo ya Ugonjwa na kukulipa malipo yote ya usitishaji wa ajira

Lakin anatakiwa kukuondoa yeye na sio wew uombe kuacha kazi, ukiomba wew unatengenezewa mazingira ya kukosa haki zako

Mwajiri kapewa haki ya kukuondoa kazin kwa sababu ya ugonjwa baada ya kuwa amezingatia yafuatayo

i. alijaribu kukubadilishia muda wa kazi lakin bado ufanis wako wa kazi sio mzuri kwa mfano ulikua unaingia kazini usiku kwa hiyo kutokana na kuugua utakua unaingia mchana anaweza kukuondoa

ii. Amejaribu kukupa kazi au majukumu mepes lakin bado afya yako hairuhusu

iii. Pia alijaribu kukupa kazi mbadala

Wataalam wataongeza zaid
Mm nimeshamaliza likizo zote mbili ila wananifosi nilizaini mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma hii nyaraka mkuu.
 

Attachments

  • Ajira na mahusiano.pdf
    231.2 KB · Views: 118
Back
Top Bottom