Kayumba Barakah
New Member
- Mar 10, 2024
- 3
- 12
ππJaribu kuweka mafuta ya taa kwenye mboga unazokula, nunua gari mbovu na ukope mkopo wenye riba kubwa.
tangazo la kijana linatuharibia wa makamoKula k kijana.....
Fanya mazoezi, jishughulishe , usipende kukaa peke yako maana mawazo huanzia hapo, epuka vijiwe vyenye stories ya mademu, .. yote kwa yote bado hujapata majukumu, ukipata hiyo hamu itakuwa mbali kama mbingu na ardhiMm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Tafuta kazi ya kufanya uwe busyMm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Bado hauna majukumu kijana, ukikua utaacha
π π ππJaribu kuweka mafuta ya taa kwenye mboga unazokula, nunua gari mbovu na ukope mkopo wenye riba kubwa.
NakaziaBado hauna majukumu kijana, ukikua utaacha