Mwenye kujua CV ya Petro E. Mselewa

Mwenye kujua CV ya Petro E. Mselewa

Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi

Mkuu MKANDAHARI , mawakili wasomi hawajitaji,wananchi ndio wanawataja.
Mawakili wasomi ni M. Lamwai, P. Kibatala, M. Marando, T. A. M. Lissu, F. Karume, Prof Safari.
Unawezaje kuwa wakili msomi halafu ukawa upande wa "wanyongaji" !!??
Wakili msomi atasimama upande wa "wanyonge" wakati wote.
 
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi

Nilishamtilia shaka tangu kitambo sana , lingine ni hili , ukiona mwanajf ambaye siyo Mwanasiasa akawa Verified member , mwangalie kwa macho matatu
 
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi


Petro Eusebius Mselewa ni Wakili aliyesajiliwa na anayetambuliwa na Mahakama ya Tanzania na Namba yake ya Uwakili ni Na. 3874. Pia, Ndg. Mselewa ni Afisa wa Sheria Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Kitaaluma Mselewa ni msomi aliyetunukiwa Shahada ya Sheria (LL.B. au Bachelor of Laws) na Shahada ya Uzamili katika sheria (LL.M or Master of Laws) kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam. Pia, Mselewa alitunukiwa Stashahada ya Sheria ya Mafunzo kwa Vitendo ( Post-graduate Diploma in Legal Practice) kutoka Shule ya Sheria Tanzania.

Pia Mselewa alipata kuwa Rais of UDLS (University of Dar es Salaam Law Society).

Siwezi kuongea kuhusu swala la uweredi (competence) wake katika tasnia ya sheria kwa sababu ni swala ambalo silijui na sina taarifa zake na sijawahi kusoma kesi ambazo ameendesha mahakamani au nyaraka za kisheria (legal instruments) ambazo amaziandika yeye mwenyewe, hivyo, swala hili ninawaachia watu wengine wenye uelewa au ufahamu wa swala hili la uweredi wa Mselewa katika tasnia ya sheria.
 
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi


Awamu ile ilikuwa na yake. Fikiria msomi mbobezi yule aliyeshukuru kwa kuokotwa na mfalme juha kutokea jalalani. Sembuse huyu verified user humu JF?
 
Petro Eusebius Mselewa ni Wakili aliyesajiliwa na anayetambuliwa na Mahakama ya Tanzania na Namba yake ya Uwakili ni Na. 3874. Pia, Ndg. Mselewa ni Afisa wa Sheria Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Kitaaluma Mselewa ni msomi aliyetunukiwa Shahada ya Sheria (LL.B. au Bachelor of Laws) na Shahada ya Uzamili katika sheria (LL.M or Master of Laws) kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam. Pia, Mselewa alitunukiwa Stashahada ya Sheria ya Mafunzo kwa Vitendo ( Post-graduate Diploma in Legal Practice) kutoka Shule ya Sheria Tanzania.
Kwahiyo ni mwajiriwa wa serikali ya ccm kupitia Chuo Kikuu cha Dsm kama walivyokuwa akina Ryoba , Mukandala na Kabudi ?
 
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi

MSELEWA NI BUSH LAWYER, 🤣🤣🤣

"Prime Minister With No Fixed Address "

Ni wakili Kanjananja anashida Zaidi JAMII FORUM kuliko VIUNGA VYA MAHAKAMA....🤣🤣🤣😃😃✋🖐
 
Petro Eusebius Mselewa ni Wakili aliyesajiliwa na anayetambuliwa na Mahakama ya Tanzania na Namba yake ya Uwakili ni Na. 3874. Pia, Ndg. Mselewa ni Afisa wa Sheria Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Kitaaluma Mselewa ni msomi aliyetunukiwa Shahada ya Sheria (LL.B. au Bachelor of Laws) na Shahada ya Uzamili katika sheria (LL.M or Master of Laws) kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam. Pia, Mselewa alitunukiwa Stashahada ya Sheria ya Mafunzo kwa Vitendo ( Post-graduate Diploma in Legal Practice) kutoka Shule ya Sheria Tanzania.

Pia Mselewa alipata kuwa Rais of UDLS (University of Dar es Salaam Law Society).

Siwezi kuongea kuhusu swala la uweredi (competence) wake katika tasnia ya sheria kwa sababu ni swala ambalo silijui na sina taarifa zake na sijawahi kusoma kesi ambazo ameendesha mahakamani au nyaraka za kisheria (legal instruments) ambazo amaziandika yeye mwenyewe, hivyo, swala hili ninawaachia watu wengine wenye uelewa au ufahamu wa swala hili la uweredi wa Mselewa katika tasnia ya sheria.
Nimekusoma vilivyo, ila nilichojifunza hapa ni kuwa kwenye 5G watu wengi walijichomoa akili, na sio kwamba ni kwa matakwa yao, bali ni kwa sababu ya hali zao kwa the time being! Imagine ilifika time mpaka akafananishwa na Yesu, wapumbavu wakasadiki..
 
Huyo jamaa na Paskali Mwenye Njaa Kali huwa siwatofautishi tokea nilipoanza kuwasoma humu JF.

Licha ya tabia zao, elimu zao ni za mashaka sana!
@Pascal Mayalla bado naendelea kumsoma, ila nilivyomsoma partially, ni mtu anaelazimisha "kingi" na ni mtaalamu wa kuandika "law of karma" ila anasahau karma is universal!
 
Humu ndani kumezuka tabia ya baadhi ya watu kujiita "wakili msomi" na wengi wao wameenda mbali zaidi na kuunga mkono hukumu za kesi kadhaa enzi za 5G ila cha ajabu rufani za kesi hizo zinaposikilizwa huangukia pua kwa aibu kubwa. Je, yawezekana kuwa hawa walifaulu kwa kutumia vibuti a.k.a "Juche"???

Nilikuwa napitia huu uzi wa Petro E. Mselewa anae jiita wakili msomi nikapigwa na butwaa kidogo baada ya kuona kina Mbowe wameonekana hawana hatia na warudishiwe fedha zao ila huyu wakili alimuunga bwana simba mkono kabisa

Anaejua CV yake sio mbaya akashea na sisi

Learned brother Petro E. Mselewa unaitwa ukuje huku upambane na hali yako msomi wetu!
 
Nimekusoma vilivyo, ila nilichojifunza hapa ni kuwa kwenye 5G watu wengi walijichomoa akili, na sio kwamba ni kwa matakwa yao, bali ni kwa sababu ya hali zao kwa the time being! Imagine ilifika time mpaka akafanishwa na Yesu, wapumbavu wakasadiki..
Ama tunamuhukumu sana maanahata wakili mahiri pia hupoteza kesi na kwa kupoteza kwake kesi hakumuondolei umahiri wake bali humpa fursa ya kujipanga vyema ili kama kuna namna basi anakata rufaa kupinga hukumu ama kukubali matokeo hivyo sioni kama ni sahihi kwa muktadha wa kisiasa tu kuona kuwa si lolote kwenye nyanja ya sheria
 
Back
Top Bottom