Mwenye kampuni ya Logistics

Mwenye kampuni ya Logistics

elimikamtanzania

Senior Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
141
Reaction score
46
Habari wana JF

Kuna kijana ana elimu ya diploma kwenye maswala ya logistics and transport ( international diploma in logistics and transport)

Anatafuta nafasi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote ya logistics ilioko ndani ya jiji la Dar es salaam,ndani ya miezi sita bila malipo yoyote .Nia yake kujiongezea ujuzi kwenye maswala ya logistics.

Asante alie tayari ani PM niweze kukuunganisha naye
 
Habari wana JF

Kuna kijana ana elimu ya diploma kwenye maswala ya logistics and transport ( international diploma in logistics and transport)

Anatafuta nafasi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote ya logistics ilioko ndani ya jiji la Dar es salaam,ndani ya miezi sita bila malipo yoyote .Nia yake kujiongezea ujuzi kwenye maswala ya logistics.

Asante alie tayari ani PM niweze kukuunganisha naye
Mimi nina diploma ya accountancy, je unaweza kunisaidia angalau kupata sehemu ya kujitolea ili niweze kuongeza ujuzi?
 
Back
Top Bottom