sky walker
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 1,160
- 824
MWENYE JIBU NAMPA ZAWADI YA VOCHA 1000 TIGO
Nilenda bar siku ya fainali ya kombe la dunia kuangalia mechi ya CROATIA NA UFARANSA,baada ya kukaa kwenye kiti akaja dada muhudumu na akasema kiingilio ni soda na soda wanauza 600 ,kwa bahati mbaya mfukoni nilikuwa na 500 kwahyo nikamuomba nimpe mia tano halafu asinipe soda ,akakubali nikampa na akaondoka.
Baada ya nusu saa akaja mkaka akajitamburisha yeye kuwa ni meneja wa bar na akauliza mbona huna kinywaji nikamuelezea ilivyokuwa ,akasema hawa wajanja sana na akanipa 100 akasema muite mpe hii 100 akuletee soda yako.
JE MENEJA ALIPATAJE FAIDA KWA HILI?
ANGALIZO:mie sina jibu ila nitaangalia tu mwenye jibu lenye ushawishi tu nitamtumia hyo vocha hapo chini kama zawadi.
Nilenda bar siku ya fainali ya kombe la dunia kuangalia mechi ya CROATIA NA UFARANSA,baada ya kukaa kwenye kiti akaja dada muhudumu na akasema kiingilio ni soda na soda wanauza 600 ,kwa bahati mbaya mfukoni nilikuwa na 500 kwahyo nikamuomba nimpe mia tano halafu asinipe soda ,akakubali nikampa na akaondoka.
Baada ya nusu saa akaja mkaka akajitamburisha yeye kuwa ni meneja wa bar na akauliza mbona huna kinywaji nikamuelezea ilivyokuwa ,akasema hawa wajanja sana na akanipa 100 akasema muite mpe hii 100 akuletee soda yako.
JE MENEJA ALIPATAJE FAIDA KWA HILI?
ANGALIZO:mie sina jibu ila nitaangalia tu mwenye jibu lenye ushawishi tu nitamtumia hyo vocha hapo chini kama zawadi.